Sasa ni Tanzania ya tozo, sio viwanda tenaNakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.
Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!
Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
Tumesha hama tena?Sasa ni Tanzania ya "VIBANDA" yaani vibanda vinajengwa kila kona
.
Changamoto moja anayoa Rais wetu wa sasa SSH ambayo pia alikuwa nayo JPM; kuna sehemu ya wasaidizi kwa level ya mawaziri au wasaidizi wa ofisi ya Rais, wanafikiri kizamani sana kwenye namna ya kufikia lengo la kujenga uchumi wa kisasa.
Pamoja na hilo taifa letu halina lengo la kitaifa bali linategemea malengo ya hao viongozi wabovu!The bad scenario in our country is that "Every current leader is worse than the former"
Kama Bashe alivyo pewa unaibu waziri ili asisumbue bungeni sio?Shhhhiiiiii shhhhiiiiii nyamaza ww.. Keep quite..!! [emoji210][emoji210][emoji210][emoji210][emoji210] nyonya pipi hizi utulie [emoji516][emoji517][emoji516][emoji517][emoji87]
Tunawaza kuongeza tozo!Ni bora kuchochea biashara ili kupanua tax base hata kama kuna mpango wa kukaa madatakani milele, ila kuna means za ku-support development projects bila kubinya sana mifuko wa wananchi kwa kile kodogo walicho nano;
Ila kama wanajua nini cha kufanya na hawafanyi, basi msoto upo mpaka kwa ndugu zao, maana kama ajira ni tight, basi kuna watu kibao ikiwamo wajimba, binamu, wapwa nao watasota.
Ila kama kuna neema ya kujenga uchumi jumuishi, si haba kuna wapwa nao watapata kazi private sector au public sector,
Imagine, kama private sector inakuwa kwenye sekta ya viwanda kwa mfano, lazima atoe ajira; wakati huo huo mahitaji ya ajira public sector nayo yataongezeka kwa supporting sector kama TBS, NSSF, OSHA, NEMC, TANESCO, taasisi za maji (DAWASCO, MWAUWASA et la) ili kuendana na kuhudumia mahitaji ya sekta binafsi.
Mfumo wa zamani ulilenga kupanua empire, hata sasa US na CHina wanagombana kupanua empire kibiashara. Kama serikali haina fikra za kuwa sehemu ya kuijenga sekta binafsi ili kupanua empire za kikodi kwa uzalishaji endelevu, basi tuna watu ambao hawakutakuwa kabisa kuwa kwenye nyadhifa walizonazo.
Imeishia ChatoNakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.
Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!
Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
So tumetoka kilimo kwanza, Tz ya viwanda na sasa tuko Tz ya utalii?Sasa hivi tuna Tanzania ya utalii!! Humuoni mama Lao yupo bize na utalii?
Taasisi nyingi za kibiashara huwa zina kitu inaitwa "enterprise mindset that is open to change for the future"Hapa ofisini nnapofanya kazi kuna siku nilileta wazo mbadala ambalo linahitaji matumizi ya software za kisasa katika ufanyaji kazi lakini mpaka leo hamna anayetaka kufanyia kazi wazo.
Naam, ilikuwa amri hiyo! Na vikajengwa kweli, kwa maelfu. Kila mkuu wa mkoa alijenga viwanda. Viwe vya mabua, vya karatasi, juu yake. Na hiyo kazi ilishakamilika. Tanzania ni nchi ya viwanda sasa! Magufuli oyee!Yani rais anaagiza viwanda vijengwe? Duuh!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naam, ilikuwa amri hiyo! Na vikajengwa kweli, kwa maelfu. Kila mkuu wa mkoa alijenga viwanda. Viwe vya mabua, vya karatasi, juu yake. Na hiyo kazi ilishakamilika. Tanzania ni nchi ya viwanda sasa! Magufuli oyee!
KILIMO KWANZA ndiyo ilikuwa dira mama.Lakini ujuaji mwingi wa mwendazake ndiyo umeirudisha nyuma nchi katika kilimo ambacho ndiyo chachu ya kujengwa viwanda.Umenikumbusha huyu mama aliekuwa Rais wa Sri Lanka (1994-2005) Chandrika Bandaranaike Kumaratunga.
Tanzania tutafanya kosa kubwa kwa kumwona mama Samia kama Rais mwanamke. Urais hauna jinsi (Presidency has no sex);
Suala ni Rais kuwa shupavu kwenye kuhakikisha wasaidizi wake wanafanya kazi kutimiza malengo yenye kuakisi utimilifu wa Dira ya maendeleo.
Changamoto moja anayoa Rais wetu wa sasa SSH ambayo pia alikuwa nayo JPM; kuna sehemu ya wasaidizi kwa level ya mawaziri au wasaidizi wa ofisi ya Rais, wanafikiri kizamani sana kwenye namna ya kufikia lengo la kujenga uchumi wa kisasa.
Uchumi wa kisasa kukua kwa biashara za bidhaa na huduma ili kupanua tax base. Sasa tuulizane, ni mpaka lini tutategemea uwekezaji wa nje hata kwenye kubangua mchele?
Wakati tukiweza kubangua mchele na kuufanyia polishing na grading, soko la mashariki ya kati pekee hatutaweza kulifikia. Uwekezaji kama huu wahitaji strategy ya kutumia bank ya Kilimo au bank ya uwekezaji kutoa financial instrument kwenye ili wanawekeza (Watanzania) wakopesheke equipment na fedha ya kununua malighafi kwa wakulima, leseni ya international exports na TBS wakiwa ni wakaguzi wa ubora wa chakula wakisimamia shoo vema, foreign envoy walioko Saudia, Oman wakicheza nafasi yao, mbona mambo haya yanawezekana.
Wakati Rais Magufuli anapokea Boeng balozi wa US alikuwepo, hali kadhalika wakati anapokea Bombadier balozi wa Canada alikuwepo.
Hata kuzalisha mchele kwa packaging kama hii hapo chini, napo mpaka aje mwekezaji toka nje? Kuna pahala akili zetu tumezifungia kwenye makabati, ndio kinachonishangaza unakuta waziri msomi na mavyeti kibao, badala ya kuja na strategic policies ili tufanya majamboz kwenye exports kwenye dunia hii ambayo ina upungufu wa chakula ikiwemo mchele unaonukia toka Tz, ahh sijui wanamsaidia vip Mhe. Rais kwa kujenga uchumi jumuishi.
Halafu ukienda Bank ya uwekezaji unasikia, kuna fedha zimekosa wakopaji simply kuna masharti magumu ambayo wanaokidhi ni chini ya 20%. (Fuatilia hotuba ya wizara ya fedha 2019/20. Benki ya uwekezaji alitumia less than 20% kukopesha ili kukuza uwekezaji)
View attachment 1923677
Haipo yupo tu anazurura kutangaza utalii hewa ambao haupo[emoji16]Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.
Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!
Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
Kada wa ccm ilala hamza mwanaccm kindakindaki,ccm mmepata gaidi no.1 kutokea tanzania,waulize policeccm wenu kawatwanga za kutoshaNjoo mkoa wa Pwani ujionee Tanzania ya viwanda inavyomeremeta.
Ukifungia na gaidi ufipa hutaelewa chochote.
Kilimo kwanza hakijawahi kuwa na matokeo chanya zaidi ya magari GX V8, VX V8, tractors na power-tiller; na hapakuwa na mkakati wa masoko wa nini kinahitajika sokoni, soko lipi na soko lahitaji nini kwa ubora upi na wingi upi?KILIMO KWANZA ndiyo ilikuwa dira mama.Lakini ujuaji mwingi wa mwendazake ndiyo umeirudisha nyuma nchi katika kilimo ambacho ndiyo chachu ya kujengwa viwanda.
Huku Mngeta Morogoro kulikuwa na kiwanda cha KPL ambacho kililima zaidi ya ekta 50000 kipindi cha Kilimokwanza na huku kikinunua pia mpunga wa raia.
Kiwanda kilitoa ajira pia za kutosha kwa raia.
Lakini kikauwawa kipindi cha serikali ya awamu ya 5.
Kifupi ujuaji na chuki za Magu kwa mtangulizi wake zimerudisha nyuma kilimo ambacho ndiyo UTIWAMGONGO WA TAIFA.