Tanzania yaanza kumulikwa vibaya na Mataifa Wafadhili

Tanzania yaanza kumulikwa vibaya na Mataifa Wafadhili

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Vyombo vya habari vya nchi wanaoisaidia Tanzania tayari vimeanza kutumulika.

Kufuatia Polisi mkoani Mwanza kuwazuia wana CHADEMA kufanya kongamano lao la kudai katiba mpya.

Wahenga walisema kuwa hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha na sasa ndiyo naona wana CCM na viongozi wao wameanza kunyunyizia maji hako kambuyu ili kakue haraka.

Hii picha chini ni moja ya picha iliyo chorwa na msanii wa DW inayoonyesha madhaifu ya Serikali ya CCM.

Screenshot_20210721-130312.jpg
 
Tulifikiri udikteta ulienda na Magufuli kumbe ni sera inayotumiwa na ccm kung'ang'ania madarakani.

Ccm wanaogopa katiba mpya kwa sababu hii yao ya sasa ndio inawafanya wawe madarakani kwa sababu inaruhusu wafanye ghiliba bila hofu yoyote.
 
Vyombo vya habari vya nchi wanaoisaidia Tanzania tayari vimeanza kutumulika.

Kufuatia Polisi mkoani Mwanza kuwazuia wana CHADEMA kufanya kongamano lao la kudai katiba mpya.

Wahenga walisema kuwa hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha na sasa ndiyo naona wana CCM na viongozi wao wameanza kunyunyizia maji hako kambuyu ili kakue haraka.

Hii picha chini ni moja ya picha iliyo chorwa na msanii wa DW inayoonyesha madhaifu ya Serikali ya CCM.

View attachment 1862128
UTEKAJI umeanza tena🙄
 
Vyombo vya habari vya nchi wanaoisaidia Tanzania tayari vimeanza kutumulika.

Kufuatia Polisi mkoani Mwanza kuwazuia wana CHADEMA kufanya kongamano lao la kudai katiba mpya.

Wahenga walisema kuwa hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha na sasa ndiyo naona wana CCM na viongozi wao wameanza kunyunyizia maji hako kambuyu ili kakue haraka.

Hii picha chini ni moja ya picha iliyo chorwa na msanii wa DW inayoonyesha madhaifu ya Serikali ya CCM.

View attachment 1862128
Mmeanza ya kina kabendela,
Mnaandika vitaarifa vyenu huko kisha mnasema ni mataifa yanamulika.
Hamtaisha kuchawia mnakolala kisha mnamtafuta mchawi huku ni nyie wenyewe.
Hayo mataifa yenu yana shida gani na katiba yenu.
 
Back
Top Bottom