Hilo povu lako kafulie boxer lakoMmeanza ya kina kabendela,
Mnaandika vitaarifa vyenu huko kisha mnasema ni mataifa yanamulika.
Hamtaisha kuchawia mnakolala kisha mnamtafuta mchawi huku ni nyie wenyewe.
Hayo mataifa yenu yana shida gani na katiba yenu.
Nitafua baada ya kichafua na mama yako usiku.Hilo povu lako kafulie boxer lako
Katiba mpyaMwacheni mama apige kazi bana chadema hata hawajui wanataka nn
Ukichangana na roho ya kijahidina aliyonayo ni hatariAwamu hili ndio mbaya zaidi tena?.….Du! 😳 😳
Kumbe yote haya tatizo ni Uislamu wake? Hata Magufuli mlimsema hivi leo mnamkumbuka.Dictator mwanamke !!!!wazungu watakutoa ..Tena Muislamu ref Ghadafi msiseme hatukuwaambia[emoji23][emoji23][emoji23]
Dereva mpya karithi gari bovuTena awamu hii ni mbaya zaidi sijui hata itakuaje
Nani amkumbuke duwanziKumbe yote haya tatizo ni Uislamu wake? Hata Magufuli mlimsema hivi leo mnamkumbuka.
Tena awamu hii ni mbaya zaidi sijui hata itakuwaje
Mbona zimeshawashinda, watu wamekimbilia benki.Wafadhili wakijitoa tunaongeza tozo.
Huyu dikteta ndiyo anataka hiviVyombo vya habari vya nchi wanaoisaidia Tanzania tayari vimeanza kutumulika.
Kufuatia Polisi mkoani Mwanza kuwazuia wana CHADEMA kufanya kongamano lao la kudai katiba mpya.
Wahenga walisema kuwa hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha na sasa ndiyo naona wana CCM na viongozi wao wameanza kunyunyizia maji hako kambuyu ili kakue haraka.
Hii picha chini ni moja ya picha iliyo chorwa na msanii wa DW inayoonyesha madhaifu ya Serikali ya CCM.
View attachment 1862128
Mimi mwenyewe siwezi kutumia tena mitandao ya simuMbona zimeshawashinda, watu wamekimbilia benki.
Mtapona kichaa hata corona mlisema hivyo hivyoMmeanza ya kina kabendela,
Mnaandika vitaarifa vyenu huko kisha mnasema ni mataifa yanamulika.
Hamtaisha kuchawia mnakolala kisha mnamtafuta mchawi huku ni nyie wenyewe.
Hayo mataifa yenu yana shida gani na katiba yenu.