milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Hata kama watanunua mtumba,wakaipiga rangi wakatuambia ni mpya,Bado ni Bora?Gulf Stream ni ndege zenye ubora duniani, accident rate yake ni ndogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama watanunua mtumba,wakaipiga rangi wakatuambia ni mpya,Bado ni Bora?Gulf Stream ni ndege zenye ubora duniani, accident rate yake ni ndogo sana.
Raisi akisafiri anaondoka na watu wake hana muda wa kusubiri.Itafanya tripu nne chap! TRA itatafuta jinsi ya kufidia hasara kwa mama.
Watakuwa wanajiongopea wenyewe.Hata kama watanunua mtumba,wakaipiga rangi wakatuambia ni mpya,Bado ni Bora?
Hela za mama wewe hazikuhusu, acha tutengeneze machawa wengi kwa ajili ya uchaguzi.Raisi akitua anaondoka na watu wake hana muda wa kusubiri.
Gulf stream is not practicle wanahitaji ndege zilizotengenezwa kwa masafa mafupi na marefu kwa sasa.
Kama Dar-Dodoma inaenda bila ya kuchosha engine na wakiamka wakisema Australia inaruka bila ya shida.
Gulf Stream can do that, Iła aiwezi beba msafara wa raisi.
Value for money ni kununua ndege ya maana sasa na kuacha kuharibu ratiba za ATCL.
Daah! lakini ndio ukweli.Hela za mama wewe hazikuhusu, acha tutengeneze machawa wengi kwa ajili ya uchaguzi.
Kuna kipindi kama sio cha JK basi ni JPM bungeni walisema bora wananchi wale majani ila ndege ya Rais inunuliwe. Hii nchi ina viongozi wajinga sana
Hapo kwenye idadi ya abiria. Kwahiyo itabidi aendelee kusafiri na ndege 2 ili kubeba ile crue yake yote?Tanzania inadaiwa kununua ndege mpya ya Gulfstream G700, ambayo ni kwa matumizi ya serikali - bila shaka matumizi ya Rais.
Pichani ni aina ya ndege iliyonunuliwa. Hii ni ndege ilizinduliwa mwaka 2019, na ina uwezo wa kukimbia kwa zaidi ya 990km/hr, karibu sawa na spidi ya Boeing Dreamliner. Kama ndege ya rais (customized), gharama yake inaweza kuwa dola za Marekani milioni mia moja ($100m)
Hizi ni baadhi ya facts kuhusu Gulfstream G700
====
- Kuiboresha kwa matumizi maalum, mfano kuwa ndege ya Raisi - gharama kuanzia $5–$20 milion juu ya bei ya ndege ya $80 million.
- Umbali wa kuruka bila kuongeza mafuta ni 7,500 nautical miles (13,890 km), yaani inaweza kwenda nchi yeyote duniani toka Dar bila kutua
- Wastani wa gharama za uendeshaji ni $3,000 - $4,000 kwa saa, kutia ndani mafuta, service, mishahara ya pilots na wahudumu
- Speed ya Gulfstream G700 inafikia 993km/hr (spidi ya Dreamliner ni zaidi kidogo ya 1000km/hr)
- Ina uwezo wa kubeba abiria 19
Tanzania took delivery of a brand-new government aircraft, a G700, ch-aviation research revealed. The transaction is part of the VIP transport fleet renewal plans announced earlier this year.
The ultra-long-range Gulfstream Aerospace jet, 5H-ONE (msn 87015) was at Appleton Outgamie County Regional from August 8, 2024, after a flight from Savannah International. It was then ferried to Dar es Salaam, via Casablanca Mohamed V, between December 21 and 22, and has not yet entered service following its arrival.
In February 2024, Tanzania’s Parliamentary Committee on Administration, Constitution and Law identified three aircraft used by officials. These included a 20.3-year-old G550, 5H-ONF (msn 5030), previously registered as 5H-ONE, intended to serve the president. The aircraft was ferried back from Dar es Salaam to Savannah between November 28 and December 1. The other two aircraft are a F50, serving other officials, and a F28-3000, which is currently stored at Dar es Salaam.
source: ch-aviation
View attachment 3190964
Wanadai imechoka, inasemekana kuna siku imezingua angani, mama kagoma hapandi tena 😀 😀 😀 ...Ile aliyonunuaga Mkapa iko wapi?
Hapana niliandika Kiswahili. Si unaona wameurudisha baada ya ku-appealLabda kwa sababu umeandikwa kwa lugha tusiyoielewa, walikuwa bado wanatafuta tafsiri google wewe ukadhani wameutoa.
Wasomaji ndio sisi, kwanini mnatuwekea nyuzi kwa lugha ngeni na ngumu?
Tafadhali muwe mnatafsiri hata kwa uongo uongo sisi watanganyika huwa tunaelewa hivyo hivyo.
Walisema ndege bado zitaendelea kuletwa nyingi tu, Pesa zipo.
Hukuona Ma trilioni yanayokusanywa na TRA kwa miezi mitatu? Tutayafanyia nini sasa kama hatutatafuta vitu vinavyohitaji matumizi mazuri ya pesa?
Walisema Treni za mchongoko na ndege zitaendelea kuletwa hadi tuvizoee, tatizo nini sasa watanganyika wenzangu?
Na yule mwanamuziki anaitwa Diamond naye alisema yake inatengenezwa muda si mrefu italetwa, tutazoea tu.
Mmmh, hii kali sana. Niliwahi kusema humu JF 60% ya matajiri wa Tanzania ni wanasiasa au walikuwa wanasiasa na viongozi wa mashirika na taasisi za serikali, sio wafanyabiasharaNdiyo maana naendelea kuwakumbusha ndugu zangu Watanganyika! Ukipata mwanya wa kukwepa kodi, wewe kwepa tu.
Si unaona matumizi ya kodi yako? Wewe unahangaika kutafuta juani, wenzako wanakula kivulini na pia kuishi maisha ya peponi kupitia hiyo kodi yako.
Kwani ni Mali binafsi?Safi sana mama anaupiga mwingi