Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Habari wanaJF,
Tanzania yetu imeendelea kuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa katika masuala ya soka, hii leo shirikisho la soka duniani FIFA limetoa viwango vipya vya ubora wa soka kwa mataifa yote wanachama wa shirikisho.
Basi taifa letu pendwa limeshika nafasi ya 144 hii inamaanisha kuwa Tanzania yetu imeporomoka kwa nafasi 12 kutoka nafasi ya 132 tuliyokuwa tukishikilia hapo awali.
Kwa mujibu wa FIFA kuanzia taifa la 56 mpaka la 1 hao ndio wapo katika kundi la walio bora zaidi, huku kuanzia mataifa yaliyoshika nafasi kuanzi ya 139 ndio wako katika hali mbaya sana.
Majirani zetu wako katika nafasi zifuatazo;
DR Congo - 49
Uganda - 72
Kenya - 85
Zambia - 94
Maawi - 100
Rwanda - 107
Burundi - 138
Tanzania tunatakiwa kujitafakari upya
Tanzania yetu imeendelea kuwa sikio la kufa lisilo sikia dawa katika masuala ya soka, hii leo shirikisho la soka duniani FIFA limetoa viwango vipya vya ubora wa soka kwa mataifa yote wanachama wa shirikisho.
Basi taifa letu pendwa limeshika nafasi ya 144 hii inamaanisha kuwa Tanzania yetu imeporomoka kwa nafasi 12 kutoka nafasi ya 132 tuliyokuwa tukishikilia hapo awali.
Kwa mujibu wa FIFA kuanzia taifa la 56 mpaka la 1 hao ndio wapo katika kundi la walio bora zaidi, huku kuanzia mataifa yaliyoshika nafasi kuanzi ya 139 ndio wako katika hali mbaya sana.
Majirani zetu wako katika nafasi zifuatazo;
DR Congo - 49
Uganda - 72
Kenya - 85
Zambia - 94
Maawi - 100
Rwanda - 107
Burundi - 138
Tanzania tunatakiwa kujitafakari upya