Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Umeona mkuu, yaani cross za Kapombe na Faridi zinapotea bure tu hakuna wa kufunga huyu Nchimbi na Lyanga ni wa hovyo sana hawa jamaa aisee
Hao Jamaa Jana walikuwa miyeyusho Sana
 
Hata Mimi sikumuelewa kocha why amtoe Jamaa alikuwa moves nzuri Sana uwanjani
 
Sasa wewe uliyeunganishwa kwenye uzi kulikuwa na ulazima gani kuandika "akimalizia pasi ya Mchezaji mwenzake wa Yanga" hapa tunazungumzia timu ya taifa achana na mambo yako ya utimu.
 
Sasa wewe uliyeunganishwa kwenye uzi kulikuwa na ulazima gani kuandika "akimalizia pasi ya Mchezaji mwenzake wa Yanga" hapa tunazungumzia timu ya taifa achana na mambo yako ya utimu.
Elewa tu mashabiki wengi wa bongo vichwani hakuna kitu. EMPTY SET.
 
Sasa wewe uliyeunganishwa kwenye uzi kulikuwa na ulazima gani kuandika "akimalizia pasi ya Mchezaji mwenzake wa Yanga" hapa tunazungumzia timu ya taifa achana na mambo yako ya utimu.
Elewa tu mashabiki wengi wa bongo vichwani hakuna kitu. EMPTY SET.
 
Ndio Tanzania ndo kama hutaki hama nenda kakae Namibia utelembwe mna tabu sana hata mambo ya taifa mnaleta ujuaji
Nihame nchi..! ya mama yako hii..

acha ushamba utatolewa posa wewe
 
Hahaaa umeshapata matokeo rasmi, au bado unayo hayo ya tatu bila!
No kwani hawajafunga 3 mkuu?! Kuna mkuu hapo juu kasema wangeweza kufunga hata zaidi ya 3 nikajua walfunga hizo 3kamili ama??πŸ€”πŸ€”
 
Mnyaki ushaanza kuji exclude utaifa[emoji1]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ taifa lenyewe halieweki kesho utaskia tumechezea kichapo heavy aah, bora kuwa MCongolese tu bana.Mimi ni mnyaki wa Congo πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Yule mchezaji nashukuru wengi tumlipachika jina la BUSHMAN ndio alikuwa bora Uwanjani. Pili alianza kushangiliwa hadi na Wabongo kwenye Vibanda Umiza. Cha kujiuliza timu zetu zinashindwa nini kusajili wachezaji wa aina ile ya Bushman wa Namibia??
Scouts wetu sijui wanafanya kazi gani,shida sisi tuliowengi matumbo yetu tumeyaweka mbele kuliko kazi nzur na ya uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…