Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Ile sura ya kibushman kabisa yaani.
Toka kipindi cha pili kinaanza jamaa ndio alikuwa anatusumbua. Alivyotoka tuu ndio tukapata goli.

I felt sorry for the boy...kwa kweli alikuwa na haki ya kulia becoz it wasnt fair at all kumtoa.

Kocha wa namibia kwa kweli haniambii kitu hii mechi amebet .
Hata Mimi sikumuelewa kocha why amtoe Jamaa alikuwa moves nzuri Sana uwanjani
 
Sasa wewe uliyeunganishwa kwenye uzi kulikuwa na ulazima gani kuandika "akimalizia pasi ya Mchezaji mwenzake wa Yanga" hapa tunazungumzia timu ya taifa achana na mambo yako ya utimu.
 
Sasa wewe uliyeunganishwa kwenye uzi kulikuwa na ulazima gani kuandika "akimalizia pasi ya Mchezaji mwenzake wa Yanga" hapa tunazungumzia timu ya taifa achana na mambo yako ya utimu.
Elewa tu mashabiki wengi wa bongo vichwani hakuna kitu. EMPTY SET.
 
Sasa wewe uliyeunganishwa kwenye uzi kulikuwa na ulazima gani kuandika "akimalizia pasi ya Mchezaji mwenzake wa Yanga" hapa tunazungumzia timu ya taifa achana na mambo yako ya utimu.
Elewa tu mashabiki wengi wa bongo vichwani hakuna kitu. EMPTY SET.
 
Ndio Tanzania ndo kama hutaki hama nenda kakae Namibia utelembwe mna tabu sana hata mambo ya taifa mnaleta ujuaji
Nihame nchi..! ya mama yako hii..

acha ushamba utatolewa posa wewe
 
Yule mchezaji nashukuru wengi tumlipachika jina la BUSHMAN ndio alikuwa bora Uwanjani. Pili alianza kushangiliwa hadi na Wabongo kwenye Vibanda Umiza. Cha kujiuliza timu zetu zinashindwa nini kusajili wachezaji wa aina ile ya Bushman wa Namibia??
Scouts wetu sijui wanafanya kazi gani,shida sisi tuliowengi matumbo yetu tumeyaweka mbele kuliko kazi nzur na ya uhakika.
 
Back
Top Bottom