joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mkutano Mkuu wa 41 wa UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani, azimio hilo limepitishwa na Nchi zote Wanachama wa UNESCO bila kupingwa leo November 23, 2021, Paris nchini Ufaransa.
MY TAKE; Kenya msije mkasema hatukuwaambia kwamba Tanzania tukiamua Jambo letu hatushindwi kitu
Tony254
komora096
@
MY TAKE; Kenya msije mkasema hatukuwaambia kwamba Tanzania tukiamua Jambo letu hatushindwi kitu
Tony254
komora096
@