joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #61
According to Uhuru Kenyatta is possible, that's why he listed Tanzania among safe countriesepidemiologically that is IMPOSSIBLE! It started in Wuhan now it is all over the world!
Ujinga na upumbavu wenu wa akili ndio uaosababisha kila mnapoazisha chokochoko tuawazidi mwisho mnaomba msamaha, kwahiyo wewe unadhani kila tunalifanya huku hatufuati sheria zetu ila ninyi mnaofuata sheria?,ndio nawaambia mwakurupuka...sheria zenu za nchi zasema mchome ng'ombe na kuku??kama zasema hivyo sawa ila sidhani...huku hatujakurupuka..tumefuata sheria ambazo hata sisi wakenya wenyewe lazima tuzifuate la sivyo tunaadhibiwa..
Kwahiyo sheria zao zinaruhusu rushwa, wizi wa fedha za umma, polisi kuua wananchi, dhuluma ya umiliki wa ardhi?.Mkuu
Naona unapata shida sana yaani
Mimi natoa hoja,wewe toa hoja pia..acha personal attacks za kipumbavu
Kenya hanilipi chochote,Tanzania hanilipi chochote,natoa hoja tu,sipati faida popote
Mkiambiwa ukweli mnaishia kutafuta sababu za kipumbavu
Mimi Mtanzania kwa kuzaliwa,ila sio Mtanzania kwa kusema uongo na kusifia upumbavu na mediocrity
Hamsimamii sheria zenu,wao wapo strict wanasimamia sheria zao na ukileta usenge wanakufunga bila huruma,unakuja hapa unaanza kulia eti nyie wakali sana bana,and blah blah za kipumbavu
Kafieni huko maiti nyie
Mimi sizijui,wewe unazijua kiazi?
Huna lolote
Mama analia lia upumbavu....
Unaona kabisa ni mediocrity inamsumbua
Wewe hufanyi kazi unataka wengine wasifanye,punguani kabisa
Hapa ndio unaona tofauti kabisa,ya wanaofanya kazi serious na majinga majinga
Yaani Kenya ina wa-outperform kila level
Umeona level ya chini kabisa,likuu la mkoa linalilia wakuu wa mkoa wa jirani kwa kutimiza kazi zake kisawasawa,eti apunguze kufanya kazi sana
Sijui lini tutaendelea,such a stupid govt and set type of leaders,so bure kabisa yaani
Kwahiyo sheria zao zinaruhusu rushwa, wizi wa fedha za umma, polisi kuua wananchi, dhuluma ya umiliki wa ardhi?.
Mbona tulipochoma vifaranga na kutaifisha Ng'ombe zao kwa kuvunja sheria za Tanzania wanalia hadi leo kama kweli wao wanafuata sheria?
Kwa hiyo unatufundisha jinsi ya kuedesha nchi yetu?. Eti hakuna mtu aliyelia, wacha ujinga, kuanzia Amina Mohamedi alipokua waziri wa mambo ya Nje, hadi Duale katika vikao vya bunge walitoa mapovu ya kutosha.1. Hakuna aliyelia juu ya vifaranga
2. Vifaranga kuchomwa siyo haki wala sheria. Ni kukosa utu tu. Hamna sheria Tanzania inayekubali kuchomwa kwa vifaranga vitokavyo nchi geni. Kama mngempiga mwenyewe faini tu ingemake sense.
Hawa wakenya ni kuwacharaza bakora tu
MY TAKE: Wakenya lini mtajifuza?, mara zote mnapoanzisha migogoro mnaishia kupiga magoti na kuomba msamaha, lakini bado mnarudia chokochoko za kijinga.
Unajua wakenya wanafanya makosa mangapi?Mama kachemka kweli, makosa ya mazoea??? wewe unaingia nchi ya watu bila sheria sababu tu ulikuwa unafanya bila kushikwa ndio kuhalalisha makosa. Kuna nchi ukikuwa huna barakoa fine dola 800 hapo Dubai tu sasa wewe utoke hapa uende nchi ya watu uvunje sheria. Hapana sio sawa hapa sio sheria nzuri au mbaya muhimu sheria zao, sisi huku Tz barakoa sio issue kufanya makosa ya mazoea sio issue wenzetu barakoa alfu 30 kwa wote wakenya au wa Tz kuingia bila ruhusa alfu 20 sasa kosa liko wapi. mbona wengine wamelipa. Hii kama vitisho mkuu wa mkoa wa kuteuliwa ukampe amri mtu aliyeshaguliwa.
sasa hayo mengine siyajui...issue tunongelea hapa ni watz kushikwa bila barakoa kenya na nyinyi kuchoma vifaranga....mbona iko wazi mlikurupuka...ila nadhani wataka kuambiwa tanzania ndio baba lao na kenya atawapigia magoti......sawa basi,tanzania ndio superpower dunia nzima,kila nchi yawaogopa nyinyi..happy now?Ujinga na upumbavu wenu wa akili ndio uaosababisha kila mnapoazisha chokochoko tuawazidi mwisho mnaomba msamaha, kwahiyo wewe unadhani kila tunalifanya huku hatufuati sheria zetu ila ninyi mnaofuata sheria?,
Nimekuambia hiyo tabia yenu ya kujifanya ninyi ndio mnajua kila kitu ndio inayowafanya mnakwaruzana na majirani wenu wote, kwahiyo Tanzania hatukufuata sheria tulipochoma vifaranga ila tulikurupuka?, ila Kenya kila mnalofanya mnatumia sheria hamkurupuki sio?, soma post yangu hapo juu #85, na uwache kuwa mjinga.sasa hayo mengine siyajui...issue tunongelea hapa ni watz kushikwa bila barakoa kenya na nyinyi kuchoma vifaranga....mbona iko wazi mlikurupuka...ila nadhani wataka kuambiwa tanzania ndio baba lao na kenya atawapigia magoti......sawa basi,tanzania ndio superpower dunia nzima,kila nchi yawaogopa nyinyi..happy now?
Awe mkenya awe mganda au wa nchi yoyote kavunja sheria za nchi yako sheria zipo kama unasemehe watu hilo juu ya nchi halihalalashi wewe kwenda kuvunja sheria za nchi nyingine.Unajua wakenya wanafanya makosa mangapi?
Wakenya hawana ujirani mwema, sisi tumekaa huko kwao tunawajua, na MTZ kuishi,kupata kazi au kufanya Biashara kwao ni kama haiwezekani, hata mfagiaji kwenye office yako atakufanyia hujuma.Mkuu kule Kenya huenda wapo watanzania kibao ambao huenda hawana vibali.
Ujirani mwema ni muhimu.
Haswaaaa!!! Tatizo sisi watz watu hovyo sana. Kila nchi inasheria zake na lazima zifatwe.mkija kenya fuateni sheria za kenya ..kama hutaki kaa tanzania uone kama kenya tutakuja kushika huko kwenu.wakenya nao wakija tz wafuate sheria za tz..wamekosea wenyewe wakashikwa alafu mnasema ni chokochoko...
Safi sana RC
MY TAKE: Wakenya lini mtajifuza?, mara zote mnapoanzisha migogoro mnaishia kupiga magoti na kuomba msamaha, lakini bado mnarudia chokochoko za kijinga.
tumia akili sio hisia ...kuchoma vifaranga ni sheria kweli..huo ni ukatili dhidi ya wanyama..mngeshika na kuwatoza faini hao wakenya waliovunja sheria sio kuchoma kuku.hakuna sheria inayoruhusu kuchoma wanyama wakiwa hai wewe...usijitie hamnazo.Nimekuambia hiyo tabia yenu ya kujifanya ninyi ndio mnajua kila kitu ndio inayowafanya mnakwaruzana na majirani wenu wote, kwahiyo Tanzania hatukufuata sheria tulipochoma vifaranga ila tulikurupuka?, ila Kenya kila mnalofanya mnatumia sheria hamkurupuki sio?, soma post yangu hapo juu #85, na uwache kuwa mjinga.
msinge waachia mngeona cha mtema kuniThis is not how you talk about another nation
Wamewashika for what reason?
Kenya sio vichaa washike watu tu bila kuvunja sheria zao. You have to query kwa adabu uambiwe
Sio unaongea na nchi superpower kama unaongea na vitoto vyako huko sebuleni kwako
Endeleeni ku-normalize ugomvi ugomvi mkidhani you can handle ugomvi
Kila siku mnagombana na majirani zenu, hizi gomvi zimezidi
nyie ni wapumbavu, hiyo ilikuwa kauli ya kidiplomasia zaidi, ujumbe hapa ulikuwa vijana walioshikiliwa ni lazima waachiwe bila masharti yoyote, na wameshaachiwa!Kaniacha hoi eti makosa ya kimazoea tu sio uhalifu. Kwa hiyo mimi nikipigwa fine na speed nimwambie trafic mimi nimezoea tu kila siku napita hapa speed sijagonga mtu niachiwe tu.
kachemka kwa vile hujui, vijana washaachiwa bila masharti kama alivyotaka.Mama kachemka kweli, makosa ya mazoea? Wewe unaingia nchi ya watu bila sheria sababu tu ulikuwa unafanya bila kushikwa ndio kuhalalisha makosa. Kuna nchi ukikuwa huna barakoa fine dola 800 hapo Dubai tu sasa wewe utoke hapa uende nchi ya watu uvunje sheria.
Hapana sio sawa hapa sio sheria nzuri au mbaya muhimu sheria zao, sisi huku Tz barakoa sio issue kufanya makosa ya mazoea sio issue wenzetu barakoa alfu 30 kwa wote wakenya au wa Tz kuingia bila ruhusa alfu 20 sasa kosa liko wapi. mbona wengine wamelipa. Hii kama vitisho mkuu wa mkoa wa kuteuliwa ukampe amri mtu aliyeshaguliwa.
We ndo wa hovyo watz wajanjaHaswaaaa!!! Tatizo sisi watz watu hovyo sana. Kila nchi inasheria zake na lazima zifatwe.