Mkuu
Naona unapata shida sana yaani
Mimi natoa hoja,wewe toa hoja pia..acha personal attacks za kipumbavu
Kenya hanilipi chochote,Tanzania hanilipi chochote,natoa hoja tu,sipati faida popote
Mkiambiwa ukweli mnaishia kutafuta sababu za kipumbavu
Mimi Mtanzania kwa kuzaliwa,ila sio Mtanzania kwa kusema uongo na kusifia upumbavu na mediocrity
Hamsimamii sheria zenu,wao wapo strict wanasimamia sheria zao na ukileta usenge wanakufunga bila huruma,unakuja hapa unaanza kulia eti nyie wakali sana bana,and blah blah za kipumbavu
Kafieni huko maiti nyie