Tanzania yakabidhiwa gawio la Tsh. bilioni 100 kutoka Kampuni ya Twiga

Tanzania yakabidhiwa gawio la Tsh. bilioni 100 kutoka Kampuni ya Twiga

Ripoti ya makinikia iliyoleta matunda haya,

Mgombea wa Urais kupitia Chadema Bwn. Lisu aliiita takataka.

Sasa ndio mtaona kuwa Lisu hana judgement nzuri, na hafai kuongoza nchi.
Lissu ni rais wa wasomi wa Twitter, wanayo Jamhuri yao ya kina Maria Sarungi na Zitto Kabwe.

Lissu anasumbuliwa na majivuno ya kisomi, yanamnyima uwezo wa kutaka kujua asiyoyajua.

Aliwatukana wale maprofesa na hawezi kuona kama alikosea jambo lolote.
 
Siwezi nadhani kwamba walitekwa na rais sababu hata wewe anayetaka nadhani hivyo huna uthibitisho wa yeye kuwateka au kutoa maagizo.
Ulimuombea Tundu nyumbani kwako au kwenye nyumba ya ibada unayoamini ukaja kuzuiwa usiombe?
Ulienda kutoa mchango wa damu hospitalini ukakataliwa au ulitaka uwekewe mrija itoke kwako iingie kwa lisu direct?
Unazijua sababu za hao wafanyabiashara wa fedha za kigeni unaosema waliporwa? Walipokua wanaipora serikali uliwahi kusema?
Unajua alichokiri kabendera au unaongea uliposikiasikia tuu?

Tukiacha ubinafsi tunaweza fanikiwa zaidi
Nimechukuwa muda wangu kukujibu nikidhani una nia ya dhati na dhamira njema ya kubishana kwa hoja. Lkn naona unqanza kupindisha ulimi na kuanza kutoa maneno ya shombo.

Mm nina maneno machafu zaidi yako usinipeleke huko nisije nikafungiwa JF.

Jikite kwenye hoja. Vinginevyo nipotezee.
 
Hakika mzalendo huyu JPM anastahili kura nyingi na miaka mingine mitano. Viva JPM
 
Nimechukuwa muda wangu kukujibu nikidhani una nia ya dhati na dhamira njema ya kubishana kwa hoja. Lkn naona unqanza kupindisha ulimi na kuanza kutoa maneno ya shombo.

Mm nina maneno machafu zaidi yako usinipeleke huko nisije nikafungiwa JF.

Jikite kwenye hoja. Vinginevyo nipotezee.

Nimeuliza maswali tuu mbona hamna shombo hapo? Siasa zitaisha Tanzania itabaki
Uwe na jioni njema
 
Kampeni hii!

Hii huenda ni chenji tu ya makinikia yaliouzwa nje baada ya kuzuiwa humu nchini maana tuliambiwa mchanga ule ilikuwa na madini ya thamani kubwa .
Mkuu lini Chadema na mgombea wenu mlikubali kuwa makanikia zilikuwa na thamani kiasi cha kutoa chenji ya bilioni 100? Mlisema kwa kuyazuia tutanyolewa bila maji!!!!Mheshimiwa Magufuli anawakosesha sana usingizi. Yaani anawachezesha kwata mpaka mnajichanganya wenyewe. Subirini kura atakazopata tarehe 28 Oktoba, wengine kati yenu pengine mkaishia Mirembe. Wajanja wameanza kujiunga upande wa ushindi, kimbia ujiondoe huko kwa wakala wa mabeberu.
 
Tuambienj kwann hatukushtakiwa MIGA

Viva Magu 2020 to 2030
Tuambieni zilipo dola bilion 190 (Shilingi Trillion 425) ambazo ACACIA a. k. a Barick walituibia. Sisi hatuna haja na hivyo vijisenti senti kutoka kwa hao jamaa. Watulipe hela zetu zote badala ya hizi pipi wanazotulambisha
 
Huu utopolo wa kisiasi wawaeleze kina BIA YETU, CHANGU WA MALUNDE, JINGA LAO, ELITWEGE NA PASCHAL MANJAAA!! watanzania wenyekujitambua walishaju pesa zimetoka mfuko wa suluari na kuwekwa mfuko wa shati.
 
Mkuu lini Chadema na mgombea wenu mlikubali kuwa makanikia zilikuwa na thamani kiasi cha kutoa chenji ya bilioni 100?
Acha udanganyifu. Lini mmepata hizo bili 100 toka kwenye makinikia? Hizo ni fedha (hewa) za kwenye matamko tu.
 
Back
Top Bottom