mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ndugai ni Spika mstaafu wa bunge la Jamhuri wa Tanania na mkereketwa wa maslahi ya Tanganyika kwenye muungano!! Aliyoyasema tunaanza kuona dalili zake hata mwaka haujapita!1Nchi haipigwi mnada? Who is Ndugai by the way?