Lucas Mganda
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 250
- 178
Mkuu nakuunga mkono Songea -malinyi -ifakara then waunge malinyi -liwaleWakuu nawasalimu kwa jina la JMT..
Serikali ya Tanzania imefikia makubaliano na IMF ya kupatiwa mkopo mwingine wa masharti nafuu wa shilingi Tilioni 2.4..
Hizi ndio zile pesa Rais Samia awaliwaambia kule Tabora waharakishe kumalizia zile za awali maana nyingine nyingi zinakuja..
Nitoe wito kwa Serikali Kuhusu matumizi ya hizi pesa..kwamba this time around bil.400 ziende Zanzibar na Til.2 zibakie Bara..
Huku bara naomba Serikali iangalie uwezekano wa kujenga japo mradi mmja wa Barabara walau km 500 ambapo tunaweza kutumia bil.800 hivi na zitakazosalia zikafanye Kazi kama zilizofanya kwenye mkopo wa awamu ya kwanza..
Tunahitaji Sana Barabara Kati ya Makongolosi-Tabora/Singia via Rungwa,Ifakara-Songea na Njombe-Ifakara..Hizi ni barabara za muhimu sana kufungua fursa za Kiuchumi
Makongorosi -ipole sikonge