Tanzania yalipiza kisasi tena, yafunga mpaka wake wa Holili baada ya Kenya kuzuia madereva wa Tanzania kuingia Kenya

Uhuru alimpigia simu Jpm baada ya nn kutokea?
Uliona akimpigia simu? Ilikuwa saa ngapi na siku gani? Alipigia Magufuli simu akiwa sehemu gani Kenya na Magufuli alikuwa sehemu gani Tanzania? Hiyo number alipigia nayo Magufuli inaanzia vipi na inaisha vipi?
 
The problem is who is testing who! I mean,damu chafu ya ukabila haina hadhi ya kumpima mtz Corona, over.
I repeat, Kenya has been testing Tanzanians everyday and we will continue testing them until we feel it's safe to let them in.
 
Pole ni sana,kamalizane na All shabaab wanaowapiga dole la ***ndu kwanza ndo mje kututishia,hamna la maana.
Hatutishi mtu, we just want to put things straight. You have to understand you are dealing with Kenya not Zambia or Burundi.
 
I like your last line. I can see you have started reasoning. Yes, our production can't meet our demand cause Kenya's demand for food is higher Tanzania and Rwanda combined. So we import few tones to fill the deficit.
What matters is to meet your demand, if you eat more than what you produce you end up starving, that's why you become a shame of East Africa for depending on food donations, shame on you Kenyans.
 
Mkipenda mtangazie dunia nzima kwamba wamebaki wagonjwa -20000 pekee Tanzania we won't care. What we are serious with is our safety, we must test Tanzanian drivers wapende wasipende and I repeat, we must test.
Kwenye episode 1,tuliwapiga pini,mkatii,hamkuendelea kupima madereva wetu,hamkuwatangaza,mlituogopa,hahaha,tena nawahakikishia,hamwezi ktupima inawaumaaa.na goti mtapiga tens as usual.
 
Hivi Uhuru alipompigia simu Magufuli na kumuomba msamaha wewe ulikua hujazaliwa?
 
What matters is to meet your demand, if you eat more than what you produce you end up starving, that's why you become a shame of East Africa for depending on food donations, shame on you Kenyans.
Tushafunga Namanga sasa. Nendeni mkafunge tena. Your work is closing the already closed door😂😂
 
Uliona akimpigia simu? Ilikuwa saa ngapi na siku gani? Alipigia Magufuli simu akiwa sehemu gani Kenya na Magufuli alikuwa sehemu gani Tanzania? Hiyo number alipigia nayo Magufuli inaanzia vipi na inaisha vipi?
Wewe uliona wapi wakenya wakipima watanzania?
 
Niliona pale Namanga. Nikaconfirm na huko lunga lunga. Do you have another question?
Mimi niliona kule Chato Uhuru Kenyatta akimpigia simu Magufuli, nikaconfirm pale Singida Magufuli aliposema Uhuru Kenyatta alinipigia na kuomba tuyamalize.
 
Unadhani wakenya hawapimwi na watz?
Hakuna mwenye amewakataza kupima kupima wakenya. Sisi kazi yetu ni kumake sure no Tanzanian driver gets in Kenya without being tested. And if they test positive, we turn them back.
 
Mimi niliona kule Chato Uhuru Kenyatta akimpigia simu Magufuli, nikaconfirm pale Singida Magufuli aliposema Uhuru Kenyatta alinipigia na kuomba tuyamalize.
Naona umewapa kichapo hadi wameanza kujaribu kuharibu uzi kama kawaida yao [emoji23]
 
Na wafunge tu kuliko kuishi na wanafiki kwanza Hilo lilikuwa lango lakutorosha tanzanite zetu
 
Ngojea muwe banned kununua matunda yote Tz Tutaona hayo masoko sijui mtawauzia matumbo yenu. We all know a large part of the fruits that you claim to sale are actually resales,
 
Kaa ukijua TANZANIA [emoji1241] inapofunga mpaka wa Kenya wafanya biashara Wachache wataathirika Ila uchumi wa Kenya utasambaratika kabisa maana hawatoweza kufanya biashara na TZ, Rwanda , Zambia, Burundi Malawi na Nchi zote za kusini mwa TANZANIA pia mpaka biashara ya maparachichi wanayo jivunia itasambaratika Sasa ngoja tuone nani ataathirika zaidi najua wafanya biashara wa mikoa ya Tanga Mara, na Moshi wataathirika Ila halitokua janga la taifa Kama kenya tena hapo bado njaa itakayowakumba plus mfumuko wa bei za bidhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…