Tetesi: Tanzania yaondolewa kwenye mradi wa kimataifa kuhusu nishati endelevu kikwazo kikiwa ni sheria ya takwimu

Hivi unajua kukosoa takwimu zilizotolewa na serikali ni kosa kwa sasa au haupo Tanzania. Kwa taarifa yako Zitto anakabiliwa na kesi hiyo, shauri yako
Walikamate hayawani huyo walitupe lupango
 
Hivi unajua kukosoa takwimu zilizotolewa na serikali ni kosa kwa sasa au haupo Tanzania. Kwa taarifa yako Zitto anakabiliwa na kesi hiyo, shauri yako
Inategemea unazikosoaje! Kama ni kupayuka bila uhakika kama mpuuzi Zito hapo imekula kwako, lakini nina uhakika na kaulize NBS watakueleza kuwa ni mara nyingi tumezikosoa data zao nao wakarekebisha si kwa kutafuta sifa kama afanyavyo Zito
 
Sibishani nawe ila najaribu kuwaeleza ukweli katika hii sheria mnayoshadidia kila ukicha bila kuijua
Afadhali wewe unayeijua kuliko wote, maana sheria inapingwa nje na ndani wewe unasema unaijua haiko kama wanavyoieleza. Tueleze wewe unayejua, unaleta ngonjera.
 
Afadhali wewe unayeijua kuliko wote, maana sheria inapingwa nje na ndani wewe unasema unaijua haiko kama wanavyoieleza. Tueleze wewe unayejua, unaleta ngonjera.
Kwanza was aonesha hujaisoma, mna matatizo ya kurukia mambo kijuu juu! Hivi unajua hata uingereza na marekani statistical act zao zipo sawa na hii?
 
Kwa hiyo taarifa hii ni siri?
Nani mna/wanamuogopa hadi waogope kutoa taarifa hadharani?
Weka link acha ubabaishaji wa kipuuzi.
Anamwogopa muuaji

Sasaivi amesema hadharani wanaompinga wataishia magerezani, naona kapunguza adhabu.
 
Inategemea unazikosoaje! Kama ni kupayuka bila uhakika kama mpuuzi Zito hapo imekula kwako, lakini nina uhakika na kaulize NBS watakueleza kuwa ni mara nyingi tumezikosoa data zao nao wakarekebisha si kwa kutafuta sifa kama afanyavyo Zito
Kwahiyo mkikosoa data zao maana yake nyie ndio hamkosei/hamkosolewi?
 
tumung tunaomba utufanyie wepesi aisee projects nyingi sana tunafeli
 
Vitu vingine kuvitetea ni UJINGA sharia inakataza kuhoji kwamaana kwamba watawala wakioa taarifa yao mwananchi huruhusiwi kudadisi unachitakiwa ni kupiga makofi ya shangwe tu! Unataka kuniambia hiyo taasisi haikuisoma hiyo sheria kubalini Nchi hii mnaipeleka kuzimu
 
Hayo yote yanatokana na yule mfalme wa kupenda kuona anasifiwa tu kila leo.
 
Nchi za Africa zinakufa sababu yakuwa na watu sampuli yako ndugu
Inategemea unazikosoaje! Kama ni kupayuka bila uhakika kama mpuuzi Zito hapo imekula kwako, lakini nina uhakika na kaulize NBS watakueleza kuwa ni mara nyingi tumezikosoa data zao nao wakarekebisha si kwa kutafuta sifa kama afanyavyo Zito
 
Wa TZ tembeeni kifua mberee huku mkiwa mmevua mashati.
Tuko kwenye raiti traki.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Mkuu huu ni uhaini hshahaha
 
Naona akili zimekurudia kwa sasa
 
Inategemea unazikosoaje! Kama ni kupayuka bila uhakika kama mpuuzi Zito hapo imekula kwako, lakini nina uhakika na kaulize NBS watakueleza kuwa ni mara nyingi tumezikosoa data zao nao wakarekebisha si kwa kutafuta sifa kama afanyavyo Zito
Nimegundua wewe ni Ngumbaru wa hii sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…