Tanzania yaongoza Africa kwa kuondoa umasikini

Kwanyinyi msio ijua Kenya ndiyo mnatishwa na makelele yao wakenya ni mafukara wa kutupwa magorofa ya Kenya yasikutishe chini ya hayo magorofa kuna mazombi yana ishi
Kwa hiyo unadhani siwajui hao nyang'au sio? Duh.
 
Akili za CCM hovyo sana.Yaani mnatutambia kuongoza kwenye list ya LDCs? Shithole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…