Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyuma katika kufikia malengo ya mileniia.
Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyuma katika kufikia malengo ya mileniia.
mijitu mingine bwana inatia hasira sana, wewe unataka kuufananisha uchumi wa watu milioni zaidi ya 40 na 30?? kijiografia pamoja na idad iya watu Tanzania imezizidi hizo unazozitaja, lakini ukiangalia chumi za nchi za afrika mashariki, Tanzania bado ina nguvu sana, ukilinganisha pia hali ya mtu mmoja mmoja kiuchumi kwa nchi hizo bado utakuta wananchi wa Tanzania wanajiweza kuliko wa nchi tajwa. Tanzania, unakuta mtu ana kipato kidogo lakini ana ardhi, kenya matajiri wachache wasio nacho kabisa ni wengi, Uganda pia hali mbaya zaidi kuliko mahesabu ya vitabuni
Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyuma katika kufikia malengo ya mileniia.
Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyuma katika kufikia malengo ya mileniia.
Akiambiwa nchi imemshinda anakataa. Shirika landege limekufa, reli kwisha kazi. Chaajabu anaenda kukopa hela china kujenga bandari. Sasa hyo mizigo ataisafirishaje bila reli? Hizo hela angefufua reli na shirika landege ingeingia akilini.
chitambikwa maendeleo hayo anayajua KINANA Katibu Mkuu wa CCM bigwa wa ufisadi kila sehemu yeye ana kampuni ya wizi wa mali za Watanzania.Tuanze na hii Falcon laundry aliibia jeshi mashine za msaada za kufua kwenye hosptali za jeshi, hivi sasa kampuni yake ya WIA ya mtandao wa Internet ameibia na kufisadi Bandari mabilion ya fedha, Kampuni yake ya TALL inahusika kusafirisha na kutunza container za meno ya tembo ya mabilion ya shilingi na Emirates Sshipping Company ambayo yeye ni wakala wake Tanzania ndiyo inasafirisha macontainer ya meno ya tembo kwenda China na HongKong.Sheria ya Wakala na Tra inakataza mmiliki wa Wakala wa MELI kuwa na ICD , lakini kINANA ANA MILIKI ICD na bado ni wakala wa EML. Tanzania ccm wameiozesha yote kwa tamaa za utJIRI NA UIFSADI.kINANA KELELE ANAZOPIGA ZOTE DHIDI YA CHADEMA ANAJUA SIYO MSAFI NA 2015 MAJI YA SHENGO LAZIMA AFANYE KAZI USIKU NA MCHANA KULINDA MASLAHI YAKE NA MAFISADI WENZAKE. NOTE THIS
Mbaya zaidi, ni nchi inaongoza kwa rasilimali kuliko zote EA, ila rais akiulizwa kwa nini nchi yetu ni masikini anakuwa hana jibu....
Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyuma katika kufikia malengo ya mileniia.
Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyuma katika kufikia malengo ya mileniia.
mijitu mingine bwana inatia hasira sana, wewe unataka kuufananisha uchumi wa watu milioni zaidi ya 40 na 30?? kijiografia pamoja na idad iya watu Tanzania imezizidi hizo unazozitaja, lakini ukiangalia chumi za nchi za afrika mashariki, Tanzania bado ina nguvu sana, ukilinganisha pia hali ya mtu mmoja mmoja kiuchumi kwa nchi hizo bado utakuta wananchi wa Tanzania wanajiweza kuliko wa nchi tajwa. Tanzania, unakuta mtu ana kipato kidogo lakini ana ardhi, kenya matajiri wachache wasio nacho kabisa ni wengi, Uganda pia hali mbaya zaidi kuliko mahesabu ya vitabuni