#COVID19 Tanzania yapokea dozi 576,558 za chanjo aina ya Sinopharm

#COVID19 Tanzania yapokea dozi 576,558 za chanjo aina ya Sinopharm

Ukichanjwa chanjo ya China kuna nchi huingii hata kama WHO wanazitambua hizo chanjo.

Mh.Dorothy Gwajima lete chanjo zinazokubalika dunia nzima.
 
Hawa wachina kila kitu feki ukiona Saa feki,jiko feki ni wachina, na chanjo tena?
Tangu nikue husikia mgonjwa kapelekwa India na si China.
Laana itakuwa juu yao wanaorisk uhai wa watu kwa sababu zao binafsi.
 
Serikali ya Tanzania leo Oktoba 08, 2021 imepokea dozi 576,558 za chanjo aina ya Sinopharm dhidi ya Virusi vya Corona kutoka Nchini China

Dozi hizo zimeletwa chini ya Mpango wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wa COVAX Facility, ikiwa ni sehemu ya dozi 1,065,600

za kichina sichanji
 
China ni nchi ina tamani u supper power kwa haraka na nguvu, vitu vyao ni vya kulipua.
 
China hawa amini kwenye research, wao wana kula mitishamba na kutengeneza michumachuma kutisha dunia na kufanya military parade za kijinga bila kupigana vita
 
usiwe na pupa hizo zimekuja kwa ajili yetu sie demokrasia ya bavicha zikisalia tunamfuata kibwetele nchini genk naye ashiriki mezani baada ya hapo wapiga kula mtaruhusiwa kwa foleni ya mmoja mmoja ndio mpango
 
Ni kwa ajiri ya majaribio tu bandugu
Msipagawe.

Haya sasa hima hima mkajaribiwe
 
Kwa hiyo chanjo laki tano na ushee zitatosha wadanganyika wote na kutokomeza uviko hapa bongolala, kweli beberu anajua kushika masikio ngozi nyeusi, kifupi ngozi nyeusi ni kima aliyechangamka.......
 
Hiz za china si ndio ziliwasumbua wazanzibar waliotaka kwenda kuhiji kua hazitambuliwi kimataifa na leo zimeletwa na wamezipokea?,nchi yetu imekua damping place?,wale Mahujaj wa zanzibar iliwabidi wachanje mara nyingine ili kuruhusiwa kwrnda kuhiji

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Kwani mibavicha na nyie hamchanji?

Si mlikuwa mnamtukana Magu kila siku kwamba kwanini haleti chanjo?

Ina maana mibavicha hamfiki hata nusu milioni wa kwenda kushambulia hizo chanjo chap?
Acha porojo Tena kimbia hata kabla ya hao bavicha waliopigania hatimae zimeletwa, uhai ni mali yako ohoooo.
 
Sijui wengine tutapokelewa vip UK, maana hizi vaccine sijui kama zinakubalika?

Hiz za china si ndio ziliwasumbua wazanzibar waliotaka kwenda kuhiji kua hazitambuliwi kimataifa na leo zimeletwa na wamezipokea?,nchi yetu imekua damping place?,wale Mahujaj wa zanzibar iliwabidi wachanje mara nyingine ili kuruhusiwa kwrnda kuhiji

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Hizo ni kwa ajili ya wanachama wajamaa chama cha ccm si unajua ccm wanaurafiki na chama cha kikomnist cha china. So hapo akina bashiru, mangula, shivji mzee mgaya, ndo watakuwa wa kwanza kwanza kwenda kuchoma maana hawaamini chanjo za za nchi za magharibi.
 
Chanjo ni bora kuliko TIBA....

#TujitokezeniKuchanjwa
Kinga ni bora kuliko chanjo kwa sababu kwa jinsi Bongo ilivyo unaweza kupata corona wakati ukiwa kwenye mchakato wa kupata chanjo maana hata hao wanaohimiza chanjo hawajali jinsi watu wasivyozingatia na kutojikinga na corona.
 
Back
Top Bottom