figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Msaada? Msaada gani wakati mkwanja umetumika hapo!Tanzania leo imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar.
Kwanza wapewe ambao hawakuwa na kiherehere cha kuchagua wapinzani.Tanzania leo imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar.
View attachment 1443800View attachment 1443801View attachment 1443802
Kwa boksi 13?Asante Rais Magufuli kwa kuwajali Watanzania
Wewe pamoja na makelele yako hutoonja hata dawa moja. Watakuacha ufe kibuduAsante Rais Magufuli kwa kuwajali Watanzania
Ni yeye na familia yake.Sasa hizo box zinatosha Watu wangapi!?
zitatutosha hizo ? au kila mtanzania tone moja