kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika kua ni box 13 ? Ulitaka shehena yote ya kwenye ndege iwekwe hapo kwa ajili ya picha tu ?Maboksi 13 ndiyo ndege ya Raisi imeenda kuchukua huku mpokeaji akishukuru sana
Serikali ya Tanzania leo imepokea kutoka Serikali ya Madagascar msaada wa dawa zinazofubaza virusi vya corona ikiwa ni siku tano tu toka Rais Magufuli aseme ——-> “Nimewasiliana na Madagascar kuna dawa ya corona wameipata nitatuma Ndege hiyo dawa ije hapa” View attachment 1443810
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi ukinywa hiyo dawa ndo unakua hupati tena corona ? Tuwekane sawa hapaTanzania leo imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar.
View attachment 1443800View attachment 1443801View attachment 1443802
Unafikiri maboksi mengine yamefichwa?Una hakika kua ni box 13 ? Ulitaka shehena yote ya kwenye ndege iwekwe hapo kwa ajili ya picha tu ?
Inafubaza.Ivi ukinywa hiyo dawa ndo unakua hupati tena corona ? Tuwekane sawa hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ya kufubaza au kuponya? Tutakapotoka katika ili janga nchi yetu itakuwa na waganga wengi wa kienyeji. Wizara ya afya itatakiwa kuanzisha hospitali za kienyeji.Tanzania leo imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar.
View attachment 1443800View attachment 1443801View attachment 1443802
Mafua yana dawa ?Ivi ukinywa hiyo dawa ndo unakua hupati tena corona ? Tuwekane sawa hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.Tanzania leo imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar.
View attachment 1443800View attachment 1443801View attachment 1443802
Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania imewasili nchini Ivato kupata tena chai ya mimea ya Covid Organics, michango kutoka Jamhuri ya Madagaska. Ujumbe huo unakaribishwa na Mkuu wa Malagasy wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.
Tanzania inatafuta shortcut ya kutatua matatizo ya msingi, hivi Serikali inafikiri nchi nyingine ni wajinga kuendelea kupima watu wake na kuchukua hatua ngumu dhidi ya Covid19 na badala yake na wao waagize dawa kutoka Madagascar?Tanzania leo imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar.
View attachment 1443800View attachment 1443801View attachment 1443802
Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania imewasili nchini Ivato kupata tena chai ya mimea ya Covid Organics, michango kutoka Jamhuri ya Madagaska. Ujumbe huo unakaribishwa na Mkuu wa Malagasy wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.
Una uhakika wamepungua au unatoa macho tu kama kabudi kumbe huna akiliInaonekana dawa inafanya kazi kwa ufanisi wa asilimia kadhaa na hii imekuwa proved baada ya case za wagonjwa kupungua Madagascar
Je huu mmea hau-exist Tz ili tuanze kufanya production kwaajili ya ujenzi wa taifa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachojua mimi hiyo ni display tu ya kilichokujaUnafikiri maboksi mengine yamefichwa?
Kwani watanzania wote wana coronazitatutosha hizo ? au kila mtanzania tone moja