Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

GTs,
Kwa hakika nchi yetu kwa kipindi hiki imekuwa na maadui wengi, hasa wanaotuonea wivu kwa msimamo wa rais wetu, utajili wetu na amani tuliyonayo. Majirani zetu wanatamani tufe wengi.

Sasa nimeona zile dawa za madagascar, waziri anakunywa.

Je zimehakikiwa ni salama na vyombo vyetu vya husika????

Kama havijahakikiwa nashauri tusitumie.
Subiriaa mchupaaa toka madascar

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GTs,
Kwa hakika nchi yetu kwa kipindi hiki imekuwa na maadui wengi, hasa wanaotuonea wivu kwa msimamo wa rais wetu, utajili wetu na amani tuliyonayo. Majirani zetu wanatamani tufe wengi.

Sasa nimeona zile dawa za madagascar, waziri anakunywa.

Je zimehakikiwa ni salama na vyombo vyetu vya husika????

Kama havijahakikiwa nashauri tusitumie.
Naona umeanza kupingana na mawazo ya mwenyekiti wenu

In God we Trust
 
Haitafua dafu,ni sawa tu na kikombe cha babu wa Loliondo!
Kwa kweli awamu hii wamelitia aibu Taifa ....... Aibu hii itachukua miaka na miaka kuisafisha!!

Mzee Mwanakijiji, lini utaleta utetezi wako? Jamaa yako inaonyesha kabisa hana leadership skills. Ameshindwa kuhudhuria kikao cha EAC na kashindwa kuitisha crisis meeting ya SADC hata kuhudhuria pia......!!
 
baadhi ya wachangiaji sijawaelewa kabisa
mzungu ametuweza sana sisi wa africa yaani kuaminiana wenyewe kwa wenyewe ni kama haiwezekani kabisa
dawa imepatikana angalau ya kuonyesha njia watu wanabeza
wanataka dawa mpaka itangazwe na WHO hahahaaaa
midawa yenyewe unakuta ni midonge/misindano inayoambatana na ma hallucination ya kutosha
 
Maoni ya BBC kabla ya mzigo kutua
20200508_171940.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom