Zuckerman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,397
- 2,469
Je kwao wana case ngapi na vifo vingapi na wangapi wameponaa
Sent using Jamii Forums mobile app
baadhi ya wachangiaji sijawaelewa kabisa
mzungu ametuweza sana sisi wa africa yaani kuaminiana wenyewe kwa wenyewe ni kama haiwezekani kabisa
dawa imepatikana angalau ya kuonyesha njia watu wanabeza
wanataka dawa mpaka itangazwe na WHO hahahaaaa
midawa yenyewe unakuta ni midonge/misindano inayoambatana na ma hallucination ya kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app