Tanzania yaruhusu maziwa na sigara kutoka Kenya, nayo Kenya yaruhusu ngano na gesi kutoka Tanzania

Kama Tanzania tunafaidikaje kuipelela hiyo gesi Kenya hadi kuleta ugomvi wa kusutana na gesi yenyewe hatuzalishi?

Hiyo gesi inapelekwa na wafanyabiashara binafsi sio na serikali. Ukitaka kufaidika nenda kafanye biashara sio kupiga domo humu.
 

Nani kakwambia wewe unaexport gesi? Hiyo ni biashara ya watu binafsi na sio serikali, nenda na wewe kafanye ukitaka kufaidika.
 
Hiyo gesi inapelekwa na wafanyabiashara binafsi sio na serikali. Ukitaka kufaidika nenda kafanye biashara sio kupiga domo humu.

Hujaelewa mantiki ya swali we bi kigagula, kama biashara ni ya watu binafsi na si ya serikali , sasa ina uzito gani hadi kufikia kuhatarisha mahusiano ya hizi nchi mbili ?
 

Kama hajakuelewa Akapimwe Akili
Maelezo yako yanamtosheleza
 
Hapo pana typing error au umemaanisha?
 
Hujaelewa mantiki ya swali we bi kigagula, kama biashara ni ya watu binafsi na si ya serikali , sasa ina uzito gani hadi kufikia kuhatarisha mahusiano ya hizi nchi mbili ?


Asante! Ni watu binafsi ndoo wanaleta hizo gas mbaya Kenya, badala ya serikali ya Tz kuwashughulika,ati inaamua kuadhibu Kenya. Mtchew!
 
Kenya had said it would only allow wheat flour and other products milled from grain produced in Tanzania or whose full Common External Tariff rate has been applied.

Azam hapa mkao wa Kula!
 
Kama Tanzania tunafaidikaje kuipelela hiyo gesi Kenya hadi kuleta ugomvi wa kusutana na gesi yenyewe hatuzalishi?
Mkuu gas inaagizwa nje, ikifika hapa oryx, mihans na wengine wanabeba mitubgi yao wanaenda kujaza wanatuuzua sisi.
Hivyo hivyo hawazuiwi kupeleka mitungi yao waliyojaza gas kuuza kenya kwa faida.
Sisi gas yetu bado hatujaweza kuichakata kwa matumizi ya majumbani kama kupikia gas haichimbwi na kutumika moja kwa moja katika majumba gas zina level.
 
Hujaelewa mantiki ya swali we bi kigagula, kama biashara ni ya watu binafsi na si ya serikali , sasa ina uzito gani hadi kufikia kuhatarisha mahusiano ya hizi nchi mbili ?
Mostly serikali haifanyi biashara, serikali inasimamia ukusanyaji wa kodi na kuweka mazingira mazuri ya kufanyika kwa biashara ili iweze kupata kodi yake.
Hivyo hivyo serikali lazima ilinde masirahi ya wafanyabiashara maana bila wao kufanya biashara hakuna kodi.
Mapato yanayopatikana kwa kuuza gas kenya yanarudi nchini na yana boost uchumi mkuu.
 
Asante! Ni watu binafsi ndoo wanaleta hizo gas mbaya Kenya, badala ya serikali ya Tz kuwashughulika,ati inaamua kuadhibu Kenya. Mtchew!
Nani kakwambia serikali haishughulikii, nimeshakuelewesha kwenye post ingine, serikali lazima ishughulikie kwanza, kabla haijafikia consumers, Kenya likewise and other countries.
 
Hapo pana typing error au umemaanisha?

Hamna makosa, kiwanda cha kuchakata gesi (LNG plant) kinachotarajiwa kujengwa Lindi kina gharama ya US$ 30b (kama Tsh trilioni 66). Kiwanda hiki kitakuwa kinageuza gesi kuwa kimiminika kwa ajili ya kuisafirisha. Hapo ndio faida kubwa zaidi ya gesi kiuchumi itakapoanza kuonekana.

Kiwanda hiki kwa taarifa za karibuni kitakamilika mwaka 2029, bado maongezi ya ujenzi yanaendelea kati ya serikali na wawekezaji.
 

Akili za kuambiwa uwe unaongeza na zako pia, ufahamu biashara za kimataifa hazifanywi kama unavyofanya kwenye genge lako hapo kitaa. Waziri wenu wa mambo ya kigeni amekuja Kenya kuzungumzia hili suala, hapo lazima busara ingetumika, maana hatuna hulka ya kukomaa na mambo ya kitoto kama mfanyavyo.

Waziri wenu bwana Mahiga na rais wenu wote wameongea na uongozi wa Kenya, hivyo wameingia kwenye makubaliano ya kuachia vikwazo vyovyote wakati mikakati muafaka inapatikana. Hivyo mashini za kupima gesi uchwara bado zitawekwa, kilichotendeka ni kuachia muendelee kama bado tunawekeza kwenye hizo mashini, japo pia najua lazima waziri ameahidi kwamba atahakikisha amedhibiti ukajanja wenu wakati huu ambapo tumeachia kabla mashini kufika.
 
Gesi kwetu haitoshi lakini wanataka waipeleke kenya!!

Basi kama ni hivyo tutaendelea kukata miti ili tuchome mkaa
Mkuu unatumia gesi?,kuna siku umeenda kununua gesi ukakosa kwa sababu haitoshi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…