Tanzania yashika namba mbili kwa Uchawi Barani Afrika

Tanzania yashika namba mbili kwa Uchawi Barani Afrika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kutoka Barani Afrika zinaeleza kwamba, Tanzania imepata Heshima kubwa Duniani baada ya kupanda juu kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa Ushirikina, huku ikiwa imezidiwa na nchi ya Cameroon Pekee ambayo ndio namba 1, Tanzania imepanda hadi nafasi ya Pili.

Kupanda juu kwa Tanzania kwenye List ya Uchawi barani Africa kunatokana na juhudi kabambe za mauaji yanayotokana na imani za kishirikina ya Wazee 117, takwimu hii ya kujivunia inaanzia July 2017 hadi May 2018 .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kati ya waliouawa wamo wanaume 91 na wanawake 26 , huku Mkoa wa Tabora ukiongoza kwa mauaji hayo.

Jambo hili limefichuliwa na Ofisa wa Kituo cha sheria na Haki za binadamu ( LHRC ), Fundikira Wazambi.

Chanzo: Mwananchi
 
Waliofanya huu utafiti kwa kigezo hicho wanapaswa kujitafakari. Waangalie kama wanaweza kuendelea kuhudumu ofisi hizo au wakalime.
 
Waliofanya huu utafiti kwa kigezo hicho wanapaswa kujitafakari. Waangalie kama wanaweza kuendelea kuhudumu ofisi hizo au wakalime.
Unamaanisha Tanzania ilipaswa kuwa namba 1?
 
Back
Top Bottom