Tanzania yashika namba mbili kwa Uchawi Barani Afrika

Tanzania yashika namba mbili kwa Uchawi Barani Afrika

Taarifa kutoka Barani Afrika zinaeleza kwamba , Tanzania imepata Heshima kubwa Duniani baada ya kupanda juu kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa Ushirikina , huku ikiwa imezidiwa na nchi ya Cameroon Pekee ambayo ndio namba 1 , Tanzania imepanda hadi nafasi ya Pili

Kupanda juu kwa Tanzania kwenye List ya Uchawi barani Africa kunatokana na juhudi kabambe za mauaji yanayotokana na imani za kishirikina ya Wazee 117 , takwimu hii ya kujivunia inaanzia July 2017 hadi May 2018 .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kati ya waliouawa wamo wanaume 91 na wanawake 26 , huku Mkoa wa Tabora ukiongoza kwa mauaji hayo .

Jambo hili limefichuliwa na Ofisa wa Kituo cha sheria na Haki za binadamu ( LHRC ) , Fundikira Wazambi .

Chanzo : Mwananchi
Sifa ambazo hazima impact yoyote
 
Hatukubali hii list ina upendeleo sisi ndyo namba 1 barani Afrika iyo namba mbili ni kidunia ndugu muandishi , wambie watuletee kombe letu
 
Wazee wa lkitaa cha lumumba na wafuasi wao matunguri kwao ni jadi....yao
simulizi-za-mashauri-wageni-KQktRdBLv27-rMcwe-RG63Z.1400x1400.jpg
 
Taarifa kutoka Barani Afrika zinaeleza kwamba , Tanzania imepata Heshima kubwa Duniani baada ya kupanda juu kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa Ushirikina , huku ikiwa imezidiwa na nchi ya Cameroon Pekee ambayo ndio namba 1 , Tanzania imepanda hadi nafasi ya Pili

Kupanda juu kwa Tanzania kwenye List ya Uchawi barani Africa kunatokana na juhudi kabambe za mauaji yanayotokana na imani za kishirikina ya Wazee 117 , takwimu hii ya kujivunia inaanzia July 2017 hadi May 2018 .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kati ya waliouawa wamo wanaume 91 na wanawake 26 , huku Mkoa wa Tabora ukiongoza kwa mauaji hayo .

Jambo hili limefichuliwa na Ofisa wa Kituo cha sheria na Haki za binadamu ( LHRC ) , Fundikira Wazambi .

Chanzo : Mwananchi
Kuamini ushirikina ni primitivity,ni saini ya akili finyu katika kufikiri. Ndiyo maana watawala wanaweza kutugeuza wanavyotaka na bila resistance. 99,9999999% ya tanzanians ni takataka kichwani...
 
Taarifa kutoka Barani Afrika zinaeleza kwamba , Tanzania imepata Heshima kubwa Duniani baada ya kupanda juu kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa Ushirikina , huku ikiwa imezidiwa na nchi ya Cameroon Pekee ambayo ndio namba 1 , Tanzania imepanda hadi nafasi ya Pili

Kupanda juu kwa Tanzania kwenye List ya Uchawi barani Africa kunatokana na juhudi kabambe za mauaji yanayotokana na imani za kishirikina ya Wazee 117 , takwimu hii ya kujivunia inaanzia July 2017 hadi May 2018 .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kati ya waliouawa wamo wanaume 91 na wanawake 26 , huku Mkoa wa Tabora ukiongoza kwa mauaji hayo .

Jambo hili limefichuliwa na Ofisa wa Kituo cha sheria na Haki za binadamu ( LHRC ) , Fundikira Wazambi .

Chanzo : Mwananchi
mauaji yanayotokana na imani za kishirikina ya Wazee 117 , takwimu hii ya kujivunia inaanzia July 2017 hadi May 2018 .[emoji3064]
Mmh kuna kitu sio cha kawaida hapa
 
Taarifa kutoka Barani Afrika zinaeleza kwamba , Tanzania imepata Heshima kubwa Duniani baada ya kupanda juu kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa Ushirikina , huku ikiwa imezidiwa na nchi ya Cameroon Pekee ambayo ndio namba 1 , Tanzania imepanda hadi nafasi ya Pili

Kupanda juu kwa Tanzania kwenye List ya Uchawi barani Africa kunatokana na juhudi kabambe za mauaji yanayotokana na imani za kishirikina ya Wazee 117 , takwimu hii ya kujivunia inaanzia July 2017 hadi May 2018 .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba kati ya waliouawa wamo wanaume 91 na wanawake 26 , huku Mkoa wa Tabora ukiongoza kwa mauaji hayo .

Jambo hili limefichuliwa na Ofisa wa Kituo cha sheria na Haki za binadamu ( LHRC ) , Fundikira Wazambi .

Chanzo : Mwananchi
Bila takwimu ni uzushi
 
Amini usiamini, Nigeria hufuata ndumba zao Tanzania. Huu ndio ukweli ambao yakupasa ufahamu, hilo ni eneo ambalo tunaongoza katika tasnia zote.
 
Amini usiamini, Nigeria hufuata ndumba zao Tanzania. Huu ndio ukweli ambao yakupasa ufahamu, hilo ni eneo ambalo tunaongoza katika tasnia zote.
Huenda, lakini Tanzania haitambuliwi. Magwiji wanaotambulika kuanzia bingwa: Malawi, Nigeria, Ghana,Uganda, Senegal, Mozambique, Congo, Benin, Kenya, Cameroun, South Afrika.....kwenye First Eleven hatupo.
 
Sawa, tabora ni mkoa wa kwanza, orodha kamili ya mikoa inayofutia nyuma ya tabora itolewe. Halafu huo utafiti umeangazia mauaji ya wazee hao tu na kuacha mauzauza? Vipi kuhusu vinyamkera na majini huo sio uchawi?. Kwa afrika cameroun imeipiku vipi nigeria? Nigeria mpaka wanathibitisha kwa filamu zao kuwa kuna uchawi mwingi huko.
 
Back
Top Bottom