Tanzania yashindwa kesi, yakubali kuilipa fidia Kampuni ya Montero Tsh. Bilioni 71 kwa kukiuka Masharti ya Mkataba

Hakuna cha uhuni kasome hukumu utagundua tulizingua kuvunja mkataba bila kufikiria mara mbili. Wanasheria wetu wengi njaa
 
Ndio maana Mimi nasisitiza hii ni michezo ya kihuni tu ndio inayofanyika hapa, Kuna watu ni watanzania wenzetu ila hawana huruma hata chembe na hili taifa licha ya umasikini huu tulionao...

Alichokisema Da mange kuhusu huyu bibi na mwanae Kuna ukweli asilimia nyingi sana.
 
Maana wanasheria wetu hawajui sheria, bali hucheza na mahakama hizi zisizo huru kwa kuweka mapingamizi tu, na mahakimu au majaji hufuata maelekezo yao. Hivyo tukienda kusiko na mbeleko lazima tukae.
Crap
 
Ili kukomesha upuuzi wa aina hii hakuna budi kuharamisha kabisa makosa makubwa ya namna hii na kuyaweka katika kundi la miongoni mwa makosa makubwa zaidi katika Jamhuri ya Tanzania sawa sawa na Uhaini. Watuhumiwa watakapokutwa na hatia Basi Hukumu yake iwe Moja tu, nayo ni Kunyongwa hadi kufa!
 
Hizi kitu usije kuta ni deal za watu.

 
Hy no. 4 vp mbowe?
 
Hiyo pesa kidogo sana kwa Tanzania, Subiri CCM wakasirike wanalipa siku moja tu.

Rais alikuwa Brazil kaomba nchi tajiri watusamehe madeni, na watupe mikopo yenye masharti nafuu zaidi.

Tukisamehewa madeni tnaweza kulipa over night. Na tukipewa misaada tunaweza kulipa , halafu tukakopa tena kufidia tulipotoa.

Madeni yetu yana lipika na haytishi Mwigulu Nchemba aliisha sema, wananchi tulale miguu juu HATUTAKUJA KUGONGEWA MILANGO KUDAIWA DENI LOLOTE Wasiwasi wetu nini, Madelu kesha sema?

Msijipe stress, tafuta deal piga. Ukiaharibu tutalipa tu.
 
Hiyo pesa kidogo sana kwa Tanzania, Subiri CCM wakasirike wanalipa siku moja tu.

Angalizo zito kuhusu ukwasi wa serikali ya Tanzania :

Disclaimer
The conclusion of the ICSID arbitration and payment of the remaining instalments is conditional on Tanzania’s compliance with the settlement agreement. The agreement does not provide for any security for the benefit of Montero in case Tanzania would not pay any instalment, in which case Montero can either resume the ICSID arbitration or seek enforcement of the settlement agreement.
 
hahaha, I still belive Ma-CCM yanaweza kulipa hilo deni, ni dogo sana. Yani kulipa deni tu bila interest tunaweza, with interest tunaweza, na hata tukiweka 10% yetu, interest ya deni na deni lenyewe, bado tunalipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…