Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Unauliza kumbe jibu lipo hapo!

Nakuhakikishia hakuna kingine zaidi ya hapo kwa sasa. Huenda ndio maana tunahangaika na NIDA na simu wakati huu ili tuepuke hilo.

Hawakurupuki ovyo hawa.

Hivi watalii wetu kwa wingi wanatokea wapi, sio huko?

Lakini kwa vyovyote na iwavyo, ni jambo la kushangaza sana Tanzania yetu ya leo kufikia kwenye ngazi hii tunayowekwa sasa.

Inabidi tujiulize na tuzijue sababu zinazotufikisha hapa. Tuache ulaghai wa kusema 'tunaonewa wivu' hii ni sababu ya kipuuzi.
Tusisahau, tumenunua madege juzi tu kwao, kwa hiyo sababu za kijinga kama "vita vya kiuchumi" hazina mshiko.

Sababu ninayoiona ni hiyo tu hapo juu kwenye mstari nilionukuu. Hatujatimiza utekelezaji wa yanayotakiwa yatekelezwe katika jambo hilo.
Uko sahihi na huu ni ujinga biometric imeanza mwaka 2010 hadi leo tunasuasua wakati system ingesaidia sana kiusalama.Nchi hii taabu sana acha tufungiwe tujifunze. Uhamasishaji wa kusajiri unafanyika at d hours, why and how
 
Tatizo ni kwamba hii ban itawaathiri waminywaji na sio waminyaji wa demokrasia. Wenye mamlaka wao wana diplomatic passport visa zao wala hazitakataliwa....tutakao onja joto ya jiwe ni wewe na mimi na mipassport yetu ya buluuuu
Na sio ajabu unakuta hata akili za viongozi ziko hivi. Utawekewa vikwazo vya kiuchumi kwa sababu ya mku..u wako mwenyewe? Ukitoa usipotoa hayo si yako mwenyewe?
Sababu kubwa ni uminyaji wa demokrasia. Wanao wawakilishi wao humu na wanaona mnavyo watendea wapinzani wapole wasio na hata manati wakati wanarekebisha mambo yaendayo hivyo unadhani watakaa kimya?
Tangazo hilo ni ishara mbaya sana na Magufuli na serikali yake wanapaswa kulichukulia kwa umakini na sio kujifanya kujua. Limetoka wakati mbaya sana, kuelekea uchaguzi kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahangaike na yote hayo wkt watsap,emails(yahoo,gmail),fb,Google,Instagram,Android OS unazotumia kila zenye details zako zote na yote unayoyfanya kila siku mali yao na wana uwezo wa kuku monitor.
Without question ni shinikizo la Washington...

Hata leo kwenye hiyo taarifa wamesema:

A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.
REUTERS
JAN 22, 2020


Hata mashine za vidole JK Nyerere airport walitupa wao bure! Kinawauma sana kwamba kuna watu duniani hawako kwenye ma system kama ya kwao ya kumjua kila mtu kwa social security namba, NIDA!

Mmarekani akifika airport (awe anatoka au anaingia) wana punch in finger print na social security namba (NIDA) yako, computer inamwaga tambara lako hata kama uliwahi kumshika titi mwanafunzi mwenzio udogoni, au uliwahi kulewa ukatapika ukaanguka ukakamatwa, Zamani sana bongo tulikuwa tunaambiwa mashuleni ukifanya ajizi kubwa unaingizwa kwenye "black book la wizara." Kumbe fixi tupu, hakuna anaenyimwa kazi au Visa au mkopo ukubwani kwa sababu ya ma rekodi ya 1972 huku third world huku.

That reality, that freedom we enjoy, if mired in bone-crushing poverty, in the back alleys of the world, is eating them alive.

dodge
 
Matukio mangapi ya kigaidi yamehusisha watanzania?
Watanzania acheni ujinga katika katazo lao hilo hakuna mahali walipo andika eti kwa sababu ya uminywaji wa democrasia ila walichogusia zaidi katika mambo ya kiusalama zaidi kwenye ugaidi.tunachopaswa kufanya ni kuanza kuwa makini kwa sisi Wenyewe dhidi ya hawa magaidi na kuwareport mahali husika ili waweze kukomeshwa na hali irudi kuwa shwari

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani)

Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na Sudan

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli nini kimetokea? Hadi tufikiriwe kuwekewa vikwazo?

Au Marekani wanatuonea wivu tu?


========

(Reuters) - The Trump administration is planning to add seven countries - Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and Tanzania - to its travel ban list, U.S. media reports said on Tuesday.

Some countries will face bans only on some visa categories, the Wall Street Journal reported. The list of countries was not final and could yet change, website Politico said.

U.S. President Donald Trump said in an interview with the Journal that he was considering adding countries to the travel ban, but declined to state which ones. Politico said an announcement was expected as early as Monday.

The move is likely to sour ties between the United States and the countries affected under the expanded ban.

Nigeria, for example, Africa's largest economy and most populous country, is a U.S. anti-terrorism partner and has a large diaspora residing in the United States.

A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.

The Department of Homeland Security did not immediately respond to requests for comment. The State Department declined to comment.

Under the current version of the ban, citizens of Iran, Libya, North Korea, Somalia, Syria and Yemen, as well as some Venezuelan officials and their relatives are blocked from obtaining a large range of U.S. immigrant and non-immigrant visas.

Chad was previously covered under the ban but was removed in April 2018.

Citizens of the countries can apply for waivers to the ban, but they are exceedingly rare.

(Reporting by Makini Brice; Additional reporting by Arshad Mohammad, Steve Holland and Humeyra Pamuk in San Jose, Costa Rica; Editing by Mohammad Zargham and Tom Brown)
Yule Aziz siyo Muiran kweli?
 
Watu kama nyie, ukishindwa kufikiri kwa ubongo tumia hata tumbo basi ndugu!

Trump na administration yake na ushogo ni kushoto na kulia. Republicans hawana ushoga na hawajawai kuifungia nchi ama kuiwekea vikwazo kwa iyo sababu.

Ingekuwa democratic, ndio ingekuwa ni iyo sababu. Sababu zimeshawekwa hapo ni ugaidi na kutokusbirikiana katika utoaji wa taarifa.

Waache watufungie,nani anataka kwenda huko
Hizo ni hasira tu baada ya sera za ushoga kukataliwa,watarudi kivingine wakikwama na ubeberu wao
 
Swala la kuzuia wapinzani, kuteka watu na kuminya uhuru wa habari inaipeleka nchi kubaya. Badala ya wapinzani kupoteza, CCM tunaenda kupoteza.

Haya matukio ya kubambikia watu makes ya hovyo yanaenda kutuondoa madarakani tusipokuwa makini. Marekani wanawawekea viongozi wetu vikwazo siku chache zijazo sijui itakuwaje. Na hapa dawa ni kumuondoa rais wetu aliyeleta na sera za ubabe badala ya diplomasia.

Bora kushugulikia hii swala mapema vinginevyo tunaondoka sisi na hao wapinzani wanachukua nchi kwenye macho yetu
Tuliacha kwenda ulaya na marekani sisi tunajitegemea hatuhitaji misaada.
 
Watu wengine bwana! Hawajui kuwa dunia sasa kama mwili mmoja na nchi ni kiungo katika huo mwili. Kuna kiungo muhimu na kikiondoka ni shida.
Tunahitaji Amerika na yenyewe inatuhitaji pia. Tupambane na hali yetu na tuache visingizio vya ubeberu. Mbona humuhumu tunabeberuiana. Kwani hatuwaoni mabeberu Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naiona Tanzania ikiwa zaidi ya Zimbabwe. Huu mfumuko wa bei ndio umeanza kuelekea huko. Unga wa mahindi kg 1 ni Tsh 2000 na zaidi kwa baadhi ya sehemu.
 
Sijaelewa hapa USA wana nini na Watanzania, maana kule Tanzania hawana sera za kufadhili majihadi wala huwa hawaskiki sana kwenye matukio ya milipuko ya mabomu, na pia Wasomali sio wengi kule kama ilivyo kwetu hapa ambapo ni changamoto kubaini baina ya Wasomali wa Kenya na wa kule kwa mashababi ambao husafiri kwenda USA kwa mgongo wa uraia wetu.

Labda wenyewe USA wanajua nini kilichopo nyuma ya pazia, japo pia vijana wengi Watanzania hujiunga alshabaab na kurudi nyumbani kama wameiva mafundisho, ila hawafanyi vituko huko kwao lakini wanakua kero kwa mataifa majirani kama Msumbiji na Kenya.

Kwa hili wana-EAC tuungane na Watz kukemea USA maana haileti mantiki, labda kama kuna anayefahamu zaidi atujuze maana sababu zenye mashiko hazijatolewa, kuna kipindi WaTz waliongoza kwa usafirishaji wa 'unga' lakini sidhani kama hizo sifa bado wanazo, au labda linahusiana na uminywaji wa demokrasia (sema hii ingewahusu watawala sio raia wote).

Ifahamike hapa tayari kwa jirani kuvurugwa hivi itatucost kiaina, ila nafahamu ingetendeka kwa Wakenya, humu hakungekalika kwa jinsi Watanzania wangechekelea, kama jinsi wao huchekelea tukipigwa mabomu au kuvamiwa na nzige.

=====

WASHINGTON—The Trump administration plans to add to the number of countries covered under its travel restrictions, including Nigeria, Africa’s most populous country, along with others in Africa and Asia, according to administration officials who have seen the list.

The administration plans to place visa restrictions limits on travelers from seven new countries: Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and Tanzania. The countries wouldn’t all face blanket bans on travel to the U.S., but could have restrictions placed on specific types of visas, such as business or visitor visas, administration officials said.

The officials said the list isn’t final. The names of the seven countries was first reported by Politico.

The administration plans to roll out its expanded travel restrictions on Monday, marking the three-year anniversary of the initial travel ban Mr. Trump signed on his seventh day in office.

The administration has said its policy restricting travel is necessary to prevent potential acts of terrorism, as countries on the list don’t adequately vet their travelers to the U.S.

Its first order, which banned travel to the U.S. by most residents of seven majority-Muslim countries, was struck down by a federal court and withdrawn. A second iteration of the ban, issued in March 2017, was also struck down by a federal judge who said it still amounted to religious discrimination against Muslims.

A third version of the travel ban, issued in September 2017, was upheld by the Supreme Court in a 5-4 ruling in June 2018 on the grounds that federal law gives the president broad authority to suspend entry to the U.S.

That current restrictions blocked travel by individuals from Iran, Libya, Somalia, Syria, Yemen and North Korea and by political officials from Venezuela. The administration briefly included Chad on the ban list, but removed the country in April 2018.

Unlike the initial list, most of the new countries don’t have majority-Muslim populations. Several of them, however, have had relatively high rates of their citizens overstaying visas in the U.S., according to Department of Homeland Security data.

In the 2018 fiscal year, 24% of Eritreans on business or visitor visas overstayed their permits, along with 15% of Nigerians and 12% of people from Sudan. Those compared with a total overstay rate in the category of 1.9%.

Source: Wall Street Journal
Cheki ulivyo shuka lakini kwenye tukio la kushamburiwa kwa lissu sikuwahi kuona banfiko lako lolote
 
Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani)

Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na Sudan

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli nini kimetokea? Hadi tufikiriwe kuwekewa vikwazo?

Au Marekani wanatuonea wivu tu?


========

(Reuters) - The Trump administration is planning to add seven countries - Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and Tanzania - to its travel ban list, U.S. media reports said on Tuesday.

Some countries will face bans only on some visa categories, the Wall Street Journal reported. The list of countries was not final and could yet change, website Politico said.

U.S. President Donald Trump said in an interview with the Journal that he was considering adding countries to the travel ban, but declined to state which ones. Politico said an announcement was expected as early as Monday.

The move is likely to sour ties between the United States and the countries affected under the expanded ban.

Nigeria, for example, Africa's largest economy and most populous country, is a U.S. anti-terrorism partner and has a large diaspora residing in the United States.

A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.

The Department of Homeland Security did not immediately respond to requests for comment. The State Department declined to comment.

Under the current version of the ban, citizens of Iran, Libya, North Korea, Somalia, Syria and Yemen, as well as some Venezuelan officials and their relatives are blocked from obtaining a large range of U.S. immigrant and non-immigrant visas.

Chad was previously covered under the ban but was removed in April 2018.

Citizens of the countries can apply for waivers to the ban, but they are exceedingly rare.

(Reporting by Makini Brice; Additional reporting by Arshad Mohammad, Steve Holland and Humeyra Pamuk in San Jose, Costa Rica; Editing by Mohammad Zargham and Tom Brown)
Mi nilijua labda tunawekewa vikwazo na Mungu kua tusiende mbinguni kumbe ni hapahapa duniani?? Hahahaa kwani tukienda huko tunapata nn?? Hata wao tunaweza kuwakataza wasije huku pia yan kama mbwai mbwai tu..tunaenda zetu china na Russia na South korea hahaaa
 
Cheki ulivyo shuka lakini kwenye tukio la kushamburiwa kwa lissu sikuwahi kuona banfiko lako lolote

Mbona shambulizi la Lissu tulilikemea sana tena kwa nyuzi kadhaa kila siku tukabanana na Lumumba boys wa humu JF.
 
Hata wakiweka hatuendi Kwao tulizaliwa Tz tutaishi Tz na tunaipenda Tz so watuzingue wa Tz
 
Hapa ndio mtakamata wajinga.

Si kweli kwani hata Trump haungi mkono huo ujinga sijui wa vilainishi n.k
Kuna nchi kama Uganda wametunga sheria kali kuliko nchi yoyote afrika mashariki,lakini hawapo kwenye orodha

Kuwa wakweli na kutoa sababu halisi ndio suluhu.
Kuwasakama na kuwanyima vilainishi wapenzi wa jinsia moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom