Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uongo utakusaidia nini ?Waache watufungie,nani anataka kwenda huko
Hizo ni hasira tu baada ya sera za ushoga kukataliwa,watarudi kivingine wakikwama na ubeberu wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo utakusaidia nini ?Waache watufungie,nani anataka kwenda huko
Hizo ni hasira tu baada ya sera za ushoga kukataliwa,watarudi kivingine wakikwama na ubeberu wao
Unauliza kumbe jibu lipo hapo!A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.
Ushoga hauna uhusiano na hivyo vikwazo kwa asilimia zote, vikwazo vimeletwa kwa sababu ya uminyaji Demokrasia, unyanyasaji kwa wapinzaniKwa hiyo wewe unataka mashoga?
Ndio sababu iliotolewa hiyo?Ushoga hauna uhusiano na hivyo vikwazo kwa asilimia zote, vikwazo vimeletwa kwa sababu ya uminyaji Demokrasia, unyanyasaji kwa wapinzani
Wazungu wamechoka kuona wapinzani wanabambikiwa kesi kila kukicha uonevu umezidi
Sababu kuu ndiyo hiyo ccm acheni kuwabambikia kesi wapinzaniNdio sababu iliotolewa hiyo?
Acha kuhamisha magoliSababu kuu ndiyo hiyo ccm acheni kuwabambikia kesi wapinzani
Endelea kujipa moyo tuUchaguzi wa 2020 ndio utaona mabeberu ni akina nani
November 2020 makonda atahamia Dubai kwani mwisho wa manyanyaso dharau zake kwa watu utakuwa umefikaUchaguzi wa 2020 ndio utaona mabeberu ni akina nani
Mtakomeshwa safari hii kudadeki !Endelea kujipa moyo tu
Kubali ukatae sababu kuu ya vikwazo ni unyanyasaji wa ccm kwa wapinzaniAcha kuhamisha magoli
Kuna mahali nimenong'onezwa hii kitu nikashangaa sana !November 2020 makonda atahamia Dubai kwani mwisho wa manyanyaso dharau zake kwa watu utakuwa umefika
Weka wazi anika hapa jukwaani tuchangie mawazoKuna mahali nimenong'onezwa hii kitu nikashangaa sana !
Acha kulia lia,Tanzania hakuna upinzaniKubali ukatae sababu kuu ya vikwazo ni unyanyasaji wa ccm kwa wapinzani
Vikwazo watawekewa viongozi wote wa ccm ikiwa ni pamoja na kushitakiwa The HagueHii sio vita ya ccm na chadema mkuu, unachanganya mada aisee, au marekani sio chadema mkuu, yan nkwambie kitu hii nchi iko hivi ilivyo kwasababu ya us3ngelema wa ccm na chadema, Dont be a fool homie..Ndio mana mkiendaga kupiga kelele za ccm na chadema si huwa tunaangalia your weak-links na hapo ndio tunawatengeza tunapiga hela. Marekan ni nchi kubwa haiwez sikiliza chadema wala ccm, nchi yetu maskini sana kuanza kutoa ushauri kwa marekani ni uongo mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums