Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Kwani vp kuna la ajabu??!Dah, hiyo list bana. [emoji1] North Korea, Venezuela, Iran, Libya, Somalia, Syria, Yemen na sasa Tanzania, Eritrea Kazakhstan, Myanmar, Sudan na Belarus. Kumbe Tanzania huwa ni 'muslim majority country'?
A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.Wakiambiwa democrasia imeminywa viongozi wetu wanaweka pamba masikioni haya ndo madhara yake
Mkuu, acha hayo mambo ya kitoto nchi ikiyumba kiuchumi haichagui kabila wala chama, acha hayo maneno yatakuja kuwaumiza watanzania mkuu, wale Jamaaa wakianza huwa wanaenda hatua Kwa hatua mwisho uchumi wa nchi huurugika mkuu, utajikuta Siku unaenda Dukani kununua mkate unachukua hela unazijaza kwenye torori had linajaaa unasukuma kwenda Dukani kununua mkate tu, acha hayo maneno, hata wenye nguvu wakiona hivyo hukimbia kwenda kuomba msamaha mkuuKwa hiyo unatutisha au? Acha kulialia kama wewe ni mwanaume halisi. Watakuambia uwe shoga sasa hivi
Sielewi Tz, Eritrea na Nigeria pia zimeingiaje kwenye orodha hiyo maanake naona nchi nyingi hapo ni zile ambazo zina beef na US. K.m. North Korea, Venezuela, Iran alafu zilizosalia ni nchi za waislamu wenye itikadi kali. Trump naye ana mawazo ya kishit hole kupindukia.Kwani vp kuna la ajabu??!
Kwani na wa CCM nao watakuwa waathirika au upinzani pekee yake ndo wataisoma namba?Bahati mbaya sana muathirika wa kwanza wa vikwazo ni wewe na mm, wananchi wa kawaida!!??
Mkuuu waende hao wanaotaka kuwaombea zimbwambwe, na hao wasio julikanaKatuombee msamaha mkuu
Hii ni nzuri sana ili hao wasaliti waliokuwa wanakimbilia huko waamue moja wakimbizi au watz wazalendo!Mkuuu waende hao wanaotaka kuwaombea zimbwambwe, na hao wasio julikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo uchumi ila travel ban waadhirika wakubwa ni wasaliti itabidi waamue kuwa wakimbizi au warudi home ili washughulikiwe ipasavyo!Kwani Tanzania inawekewa vikwazo vyakiuchumi au? Alafu kwani chanzo cha habari ni kipi ambacho ni official kabisa toka white house?
Ubeberu ni ubepari uliokomaa tulijifunza lasaba.imperialism(ubeberu) ni mfumo na wenyewe ndio hao wazungu kwa hii Kuwaita mabeberu ni sawa na wala hawachukii.
Nilijua tu una malengo ya kisiasa, sasa hiyo gia si ndo mtaingia ikulu kiulainiMkuuu waende hao wanaotaka kuwaombea zimbwambwe, na hao wasio julikana
Sent using Jamii Forums mobile app