Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,633
- 2,297
Kisa?Wewe utakuwa si mwana c.c.m
Acha kuota mchanaSwala la kuzuia wapinzani, kuteka watu na kuminya uhuru wa habari inaipeleka nchi kubaya. Badala ya wapinzani kupoteza, CCM tunaenda kupoteza.
Haya matukio ya kubambikia watu makes ya hovyo yanaenda kutuondoa madarakani tusipokuwa makini. Marekani wanawawekea viongozi wetu vikwazo siku chache zijazo sijui itakuwaje. Na hapa dawa ni kumuondoa rais wetu aliyeleta na sera za ubabe badala ya diplomasia.
Bora kushugulikia hii swala mapema vinginevyo tunaondoka sisi na hao wapinzani wanachukua nchi kwenye macho yetu
Acha ramli,mbona sababu imeelezwa hapo kuwa ni juu ya harakati za kupambana na ugaidi wewe unakuja na nyimbo zako za demokrasia,wapinzani bwana kwenu ninyi demokrasia ni kuachwa huru mtukane matusi watu ? Eti uminywaji wa demokrasia,msitegemee kuingia ikulu kwa haruma za marekani ,kwanza Tanzania hakuna upinzani hata marekani analijua hilo ,kuna waganga njaaa tuCCM waache kuwabambikia kesi kuwatesa kuwanyanyasa wapinzani
Sijaongelea kuwa wameletwa na trump ila propaganda wanazoziendesha Marekani za kuwapa uhuru mashoga athari zake zinafika mpka huku,
Hivi unajua Serikali ya Trump imefuta misaada yote iliyokuwa inatolewa na serikali kwa mashirika na taasisi zinazojihusisha na ushoga na usagaji? Hivi unajua sera mojawapo kubwa ya Republican ni kuupinga ushoga na usagaji?Sijaongelea kuwa wameletwa na trump ila propaganda wanazoziendesha Marekani za kuwapa uhuru mashoga athari zake zinafika mpka huku,
Yaani Marekani sijui inajionaje yani, akitaka kukukomoa ana kuwekea vikwazo
Ushoga kwetu ni mwiko tena bora wawape mashoga wa Tanzania Visa wakaishi Marekani, hali ni mbaya mtaani watoto wa shule za msingi wana lawitiana kwenye vyoo vya shule huku mashuleni, tusichukulie poa kabisa... Miaka ishirini ijayo sijui hali itakuwaje
Acha upuuzi kizungu hujuiHivi unajua Serikali ya Trump imefuta misaada yote iliyokuwa inatolewa na serikali kwa mashirika na taasisi zinazojihusisha na ushoga na usagaji? Hivi unajua sera mojawapo kubwa ya Republican ni kuupinga ushoga na usagaji?
Hakuna kitu kama hicho, na hapa hili tulilizungumzaBora kushugulikia hii swala mapema vinginevyo tunaondoka sisi na hao wapinzani wanachukua nchi kwenye macho yetu
Kwani Marekani kuna demokrasia ipi? Kama wanathubutu hadi kwenda kuwaua raia wa nchi zingine ndo wana demokrasia?Wakiambiwa democrasia imeminywa viongozi wetu wanaweka pamba masikioni haya ndo madhara yake
Kwa akili yangu ndogo sizani Kama Tanzania umuhumu akuna mashoga sizani sa Kuna haja gani ya serikali kuwakataza wakati wazawa mashoga wapo na serikali ina wajua nahaichuki hatua Mimi naona nisababu tu za kisiasa na sio ushogaKwa hiyo wewe unataka mashoga?