Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sio sababu ya kutaka kuingizwa!Ushoga hauna uhusiano na hivyo vikwazo kwa asilimia zote, vikwazo vimeletwa kwa sababu ya uminyaji Demokrasia, unyanyasaji kwa wapinzani
Mungu wabariki Wazungu
Sijali, hawanihusu na pia hawanisumbui katika maisha yangu. Na siwafatilii kuwachunguza au kuwachungulia.
Lakini hii ku ban haihusiani na utawala mbovu! Ingekuwa ni utawala mbovu wangezi ban Russia na Saudi Arabia pia!Namuunga moon Trump kama huyo ban itasaidia kuwalazimisha watawala wa nchi hizo kurekebisha baadhi ya mambo ambao hanako sawasawa
Hii ni warning sign kuwa miradi ya misaada kama vile zile ARV na mingine inaweza kuwa mashakani sasa.
Afadhali aisee.Some countries will face bans only on some visa categories, the Wall Street Journal reported. The list of countries was not final and could yet change, website Politico said.
Duuu vile vitambi vya mjengoni itakuwaje?Hii ni warning sign kuwa miradi ya misaada kama vile zile ARV na mingine inaweza kuwa mashakani sasa.
Uminyaji Demokrasia, kuwatesa wapinzani uchakachuaji kwenye chaguzi zotr