Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Hata kama ni kweli hamna wapinzani wakuwepa nchi, tatizo la nchi hii liko pale pale CCM inakwamisha maendeleo ya taifa hili kwa kushindwa kujenga taasisi imara za uongozi, ni ngumu sana kupata maendeleo endelevu bila kuwa na taasisi imara. We can't relay on a strongman!! Tunahitaji taasisi imara zilizopewa nguvu kikatiba na sheria. Sio wao tu wa Ku define fate ya nchi hii!
Mkuu Manelezu, kwanza naunga mkono hoja, ili tuendelee tunahitaji taasisi imara, strong institutions and not strong people na hili nami nililisema

Sasa in absence of strong opposition, watu wachague nini zaidi ya kuchagua kilichopo?.
P
 
kama ni hasira dhidi ya sera zetu za ushoga mbona Zambia na Kenya hawaja maindiwa? Zambia wametangaza wazi wazi wao ni Waktisto ushoga usije na misaada isije, "waachwe na umaskini wao, watakula mizoga, wataiba, watakopa, vyovyote vile..." Kasema President Lungu, sio sisi tunajiuma uma na kumtupia mzigo Makonda.

Kenya juzi wamemtandika fimbo shoga kwenye kambi ya jeshi baada ya mjeda kuingia chaka akidhani ni zigo la kawaida... cheki clip ya Mshana Jr... Rest assured America wameiona ile video..

Wanasema hatujakamilisha alama za vidole waliotulazisha tukusanye, wao Marekani raia gani anaweza kukubali kuchukuliwa finger prints kuwapa T Mobile phone company???

Self-serving double standards and massive hegemony, wacha wafunge mipaka

Lugalo, Tanki Bovu, Makonde, Afrikana, Kijiweni, Tegeta, Kibaoni, Nyuki, Boko na Bunju, NABAKI AFRIKA
Exactly ni double standards
 
Na sio ajabu unakuta hata akili za viongozi ziko hivi. Utawekewa vikwazo vya kiuchumi kwa sababu ya mku..u wako mwenyewe? Ukitoa usipotoa hayo si yako mwenyewe?
Sababu kubwa ni uminyaji wa demokrasia. Wanao wawakilishi wao humu na wanaona mnavyo watendea wapinzani wapole wasio na hata manati wakati wanarekebisha mambo yaendayo hivyo unadhani watakaa kimya?
Tangazo hilo ni ishara mbaya sana na Magufuli na serikali yake wanapaswa kulichukulia kwa umakini na sio kujifanya kujua. Limetoka wakati mbaya sana, kuelekea uchaguzi kwa nini?
Rubbish kun uhusiano vip n Visa???????
 
‘Aaah wapi, wanaonea donge tuu uchumi wetu wa 5G. Hii vita mabeberu hawatoshinda. Kwanza, wanatuhitaji’

Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani)

Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na Sudan

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli nini kimetokea? Hadi tufikiriwe kuwekewa vikwazo?

Au Marekani wanatuonea wivu tu?


========

(Reuters) - The Trump administration is planning to add seven countries - Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and Tanzania - to its travel ban list, U.S. media reports said on Tuesday.

Some countries will face bans only on some visa categories, the Wall Street Journal reported. The list of countries was not final and could yet change, website Politico said.

U.S. President Donald Trump said in an interview with the Journal that he was considering adding countries to the travel ban, but declined to state which ones. Politico said an announcement was expected as early as Monday.

The move is likely to sour ties between the United States and the countries affected under the expanded ban.

Nigeria, for example, Africa's largest economy and most populous country, is a U.S. anti-terrorism partner and has a large diaspora residing in the United States.

A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.

The Department of Homeland Security did not immediately respond to requests for comment. The State Department declined to comment.

Under the current version of the ban, citizens of Iran, Libya, North Korea, Somalia, Syria and Yemen, as well as some Venezuelan officials and their relatives are blocked from obtaining a large range of U.S. immigrant and non-immigrant visas.

Chad was previously covered under the ban but was removed in April 2018.

Citizens of the countries can apply for waivers to the ban, but they are exceedingly rare.

(Reporting by Makini Brice; Additional reporting by Arshad Mohammad, Steve Holland and Humeyra Pamuk in San Jose, Costa Rica; Editing by Mohammad Zargham and Tom Brown)
 
kama ni hasira dhidi ya sera zetu za ushoga mbona Zambia na Kenya hawaja maindiwa? Zambia wametangaza wazi wazi wao ni Waktisto ushoga usije na misaada isije, "waachwe na umaskini wao, watakula mizoga, wataiba, watakopa, vyovyote vile..." Kasema President Lungu, sio sisi tunajiuma uma na kumtupia mzigo Makonda.

Kenya juzi wamemtandika fimbo shoga kwenye kambi ya jeshi baada ya mjeda kuingia chaka akidhani ni zigo la kawaida... cheki clip ya Mshana Jr... Rest assured America wameiona ile video..

Wanasema hatujakamilisha alama za vidole waliotulazisha tukusanye, wao Marekani raia gani anaweza kukubali kuchukuliwa finger prints kuwapa T Mobile phone company???

Self-serving double standards and massive hegemony, wacha wafunge mipaka

Lugalo, Tanki Bovu, Makonde, Afrikana, Kijiweni, Tegeta, Kibaoni, Nyuki, Boko na Bunju, NABAKI AFRIKA
Mkuu hivi hii Saga la Finger print liinashinikizo la kutoka Washington?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kati ya wakenya wenye akili kabisa,asante na hongera
Sijaelewa hapa USA wana nini na Watanzania, maana kule Tanzania hawana sera za kufadhili majihadi wala huwa hawaskiki sana kwenye matukio ya milipuko ya mabomu, na pia Wasomali sio wengi kule kama ilivyo kwetu hapa ambapo ni changamoto kubaini baina ya Wasomali wa Kenya na wa kule kwa mashababi ambao husafiri kwenda USA kwa mgongo wa uraia wetu.

Labda wenyewe USA wanajua nini kilichopo nyuma ya pazia, japo pia vijana wengi Watanzania hujiunga alshabaab na kurudi nyumbani kama wameiva mafundisho, ila hawafanyi vituko huko kwao lakini wanakua kero kwa mataifa majirani kama Msumbiji na Kenya.

Kwa hili wana-EAC tuungane na Watz kukemea USA maana haileti mantiki, labda kama kuna anayefahamu zaidi atujuze maana sababu zenye mashiko hazijatolewa, kuna kipindi WaTz waliongoza kwa usafirishaji wa 'unga' lakini sidhani kama hizo sifa bado wanazo, au labda linahusiana na uminywaji wa demokrasia (sema hii ingewahusu watawala sio raia wote).

Ifahamike hapa tayari kwa jirani kuvurugwa hivi itatucost kiaina, ila nafahamu ingetendeka kwa Wakenya, humu hakungekalika kwa jinsi Watanzania wangechekelea, kama jinsi wao huchekelea tukipigwa mabomu au kuvamiwa na nzige.

=====

WASHINGTON—The Trump administration plans to add to the number of countries covered under its travel restrictions, including Nigeria, Africa’s most populous country, along with others in Africa and Asia, according to administration officials who have seen the list.

The administration plans to place visa restrictions limits on travelers from seven new countries: Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and Tanzania. The countries wouldn’t all face blanket bans on travel to the U.S., but could have restrictions placed on specific types of visas, such as business or visitor visas, administration officials said.

The officials said the list isn’t final. The names of the seven countries was first reported by Politico.

The administration plans to roll out its expanded travel restrictions on Monday, marking the three-year anniversary of the initial travel ban Mr. Trump signed on his seventh day in office.

The administration has said its policy restricting travel is necessary to prevent potential acts of terrorism, as countries on the list don’t adequately vet their travelers to the U.S.

Its first order, which banned travel to the U.S. by most residents of seven majority-Muslim countries, was struck down by a federal court and withdrawn. A second iteration of the ban, issued in March 2017, was also struck down by a federal judge who said it still amounted to religious discrimination against Muslims.

A third version of the travel ban, issued in September 2017, was upheld by the Supreme Court in a 5-4 ruling in June 2018 on the grounds that federal law gives the president broad authority to suspend entry to the U.S.

That current restrictions blocked travel by individuals from Iran, Libya, Somalia, Syria, Yemen and North Korea and by political officials from Venezuela. The administration briefly included Chad on the ban list, but removed the country in April 2018.

Unlike the initial list, most of the new countries don’t have majority-Muslim populations. Several of them, however, have had relatively high rates of their citizens overstaying visas in the U.S., according to Department of Homeland Security data.

In the 2018 fiscal year, 24% of Eritreans on business or visitor visas overstayed their permits, along with 15% of Nigerians and 12% of people from Sudan. Those compared with a total overstay rate in the category of 1.9%.

Source: Wall Street Journal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Buku 7 zimeanza...kuna ID huwa zinaibuka karibu na uchaguzi tu humu ndani, aisee
 
Kwani Marekani kuna demokrasia ipi? Kama wanathubutu hadi kwenda kuwaua raia wa nchi zingine ndo wana demokrasia?
SWala hili has nothing to do with democracy but security, wanasem nchi hain utaratib mzuri wa kufany vetting kwa wasafiri wetu hivy kupelekea magaini.

Ni upuuzi tu sidhn kam kun nchi kupata passport yake ni ngum kam TZ
 
Acheni kuhofia sana. Mimi naishi USA, najua sababu kwa nini hili linaweza tokea. Lakini sababu sitaisema sasa hivi kutokana na kwamba bado haijawa official.

Manake USA govt inafikiria kuiweka Tanzania katika nchi hizo, lakini bado hilo halijafanyika na INAWEZEKANA LISIFANYIKE. Kama likifanyika officially, tutakutana tena na nitasema sababu.
Acha kubania informatics mzee funguka tu....au upo USA river nin?
 
Tatizo kubwa unyanyasaji wapinzani na kubana uhuru wa habari.
Watu wanapotea hahuna anayejali, eti mtu kajinyonga eti wanajiteka.
Watu wanabambikwa kesi eti wahujumu uchumi kama wafanya biashara.
Barozi alimtembelea mke wa Azory, kesi za kubambika mahakani wanaziona.
Tusijifanye vipofu dhuluma na uonezi vinaendelea, Lissu kapigwa ma risasi kama mbwa hakuna anayejali.
Watu wamekuwa wanafiki nawakatili haijawahi kutokea!!
USA WANAONA YOTE HAYO!!
 
Niwape sababu ninayoijua mimi. Kuna waTz wengi sana wanatakiwa kurudishwa Tz (kuwa deported) from USA. Kwa miaka mingi, ubalozi wa Tz umekuwa unagoma kushirikiana na US govt kurudisha hao watu. Manake ubalozi unakataa kuwapa travel document nk sababu bila hizo hauwezi safirishwa na kurudishwa kwenu. Wanataka kuibana serikali ya Tz ili isaidie kuwarudisha hao watu bongo. Tuandalieni vibarua jamani. Bongo sasa tunaletwa kwa lazima.
Hilo ya ku overstay ni Eritrea Nigeria nk, tz hatupo kwny hilo
 
Back
Top Bottom