crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Document iko hapo juu, tuwekee hapa quote tuone imeandikwa wapi? Endeleeni kujidanganya, jamaa waache kuangalia usalama na maslahi yao wawaze siasa zenu za kwenye vumbi hizi!!Kubali ukatae sababu kuu ya vikwazo ni unyanyasaji wa ccm kwa wapinzani