Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Tupe mfano wa hivyo vitu ambavyo tukivikosa Marekani hatuwezi kuvipata China au popote pale duniani.
ARV. Vile vidonge vya kufubaza makali ya Ukimwi na chanjo mbalimbali. Mtakufa Kama kuku. Huo ni mfano mmj katika mengi
 
Marekani hawatoi pesa ya SGR, pesa za SGR ni partly za ndani na partly mkopo toka China Exim.

Pesa za ndani zilianza kuwa collected muda mrefu tu kupitia imports kodi inaitwa RDL, Rail way Development Levy.
 
Chadema bwana! Wanachekeeesha kweli kweli na mada zao mfu hizi. Wao Kila wakati wanawaza habari za matesovna matatizo tu ndo maana hata mwenyekiti wao hakuna anachoongeza kwenye uongozi mpaka Sasa zaidi ya kengeza tu.
 
Afu nyie ndo mnasema samia mbaya!! Nyie wenyewe Akili ya kujitegemea hamna😂😂😂 wasomi wa Bongo bhana.. kama wehu
 
Nimemkumbuka “Chuma” alipiga marufuku viongozi kwenda nje bila kibali cha ikulu. Hivi lilie zuio lilishaondolewa ama liliondoka na yeye?
 
Ungekuwa sio mvivu wa kusoma ungebaini kwamba hao jamaa wametumia reference ya travel ban list used when DT became a president for first time, so chances are the list is likely to be reapplied or not.
 
Sema watu mnapenda kuokoteza hio sio taarifa official ya serikali ni tafiti na prediction imefanywa
Actually sio kwamba wanaokoteza taarifa, ila tatizo lao ni kukosa comprehension skills, yaani wamesoma lakini hawajaweza kupata ufahamu wa walichokisoma.
 
ARV. Vile vidonge vya kufubaza makali ya Ukimwi na chanjo mbalimbali. Mtakufa Kama kuku. Huo ni mfano mmj katika mengi
ARV zinatengezwa nchi nyingi sana hata hapa Africa achilia mbali India na kwengineko.
 
Hujjui historia ya hii nchi

Tanzania ilipopata baa la njaa miaka ya 1970s to 1980s nchi gani ilikuja kuwasaidia?

Hamkuletewa UNGA WA DONOR kutoka Marekani kujiokoa na baa la njaa?

Mbona haya ni mambo mepesi sana mkuu kujielimisha
Unga wa" DONOR" ambao walimaanisha msaada tena kilikuwa kipindi cha utawala wa Kennedy Jr.
 
Afu nyie ndo mnasema samia mbaya!! Nyie wenyewe Akili ya kujitegemea hamna😂😂😂 wasomi wa Bongo bhana.. kama wehu

Huyo uliyomtaja hapo ana akili ya kujitegemea?

Kama anayo kwanini na yeye anaendaga Marekani na Ulaya kuomba misaada?
 
We are not americans.
 
Hakuna impact
 
Usikute umejifungia Ukerewe hapo huelewi connections walizonazo Watanzania wenzako na Marekani kibiashara.
Unahangaika kupanda mbegu kwenye mwamba ukitegemea ikue, you're just wasting your energy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…