Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Kutekana kuuana kudhulumu kura.
 
Kwani tusipoenda marekani tutakufa?
Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Kwani bila wao kuna chochote unaweza mkuu?

Wanakupa ARV, chandarua, madawa na kuna baadhi ya vyoo vya primary vina logo yao kuwa wametusaidia

Wanakupa pesa ujenge hizi SGR

Wanakupa pesa za mikakati ya kuzuia na kupunguza umasikini, barabara, madaraja na vivuko

Kiufupi mkuu hakuna jambo lolote utafanya bila wao.
 
Mama anaupiga mwingi.
 
Una miaka mingapi chifu ?
Hakuna kitu bora kama mahusiano na watu au taifa kwa taifa, hali ya usalama nchini ni tete sasa si unakuwa unaleta taharuki kwa watu.
Haya makapuku yakikaa huko kijijini kwao Madongo kuinama wala hata hayajui faida za ushirikiano kati ya nchi zilizo endelea na zinazo endelea.

Yenyewe yakishakunywa wanzuki zao na kulewa ndio yanakuja hapa kutapika pombe zao kwamba Marekani haina msaada wowote kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…