Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Afrika ndio Pepo ya wazungu , waarabu na wayahudi . Starehe ipo Africa Kila mwaka wazungu wanatunza fedha ili waje kufurahia maisha afrika. Huko marekani waafrika wanaenda kutafuta maisha tuMarekani ndio pepo ya Waarabu na Waafrika wanapotibuana kwenye vitongoji (vinchi) vyao wanapoishi..
😂😂😂WhatsApp, YouTube, Google
Pepsi, Coca-Cola
Music, Movies
Vitabu
Wewe ukikosa Whatsapp na movies utakufa kwa njaa?WhatsApp, YouTube, Google
Pepsi, Coca-Cola
Music, Movies
Vitabu
CCM mbele kwa mbeleeeeWakuu,
Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.
Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.
List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.
Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.
View attachment 3167931Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?
CHANZO: Guidance: Possible Immigration Changes in 2025 | International Services
Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
TanzagizaWakuu,
Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.
Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.
List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.
Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.
View attachment 3167931Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?
CHANZO: Guidance: Possible Immigration Changes in 2025 | International Services
Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Maisha ya binadamu sio kula tu, usiwe kilaza kiasi hicho.Wewe ukikosa Whatsapp na movies utakufa kwa njaa?
Tanzania inaweza nini zaidi ya ufisadi, wizi, ubadhirifu wa mali za umma, mauaji na siasa za uchawa?Kwani tusipoenda marekani tutakufa?
Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Wanadai uhakika wa ugali upo mkuu Mungu kawaletea mvua za kutosha na mlenda unajiotea tu🤣🤣Tanzania inaweza nini zaidi ya ufisadi, wizi, ubadhirifu wa mali za umma, mauaji na siasa za uchawa?
Kuna chochote mmefanikiwa kufanya wenyewe bila msaada wowote ule wa kifedha au kiutaalamu kutoka kwa wazungu?
Au ushakunywa wanzuki zako huko kijijini kwenu Samvula chole, unaona kwamba wewe ni tajiri sana?
Unakua hauna thamani; wewe na kuku na mbwa sawa tuKwa hiyo walitupiga ban tusiende kwao tutakufa sio? Acha uzuzu
Nchi zinazoongoza kwa utalii duniani ni Ufaransa, Spain, US, Italia, Uturuki , Mexico, Uingereza, Ujerumani, Ugiriki na Australia. Sisi tunazidiwa hata na Saudi Arabia na Israel ambazo watu wanaenda kuhiji dini zao zaidi.Afrika ndio Pepo ya wazungu , waarabu na wayahudi . Starehe ipo Africa Kila mwaka wazungu wanatunza fedha ili waje kufurahia maisha afrika. Huko marekani waafrika wanaenda kutafuta maisha tu
Na hawa hawa ndio wanazaa hovyo hovyo kama mapanya.Wanadai uhakika wa ugali upo mkuu Mungu kawaletea mvua za kutosha na mlenda unajiotea tu🤣🤣
Ipi nyingine imetukataa?Kwani nchi gani inatutaka?
Kukataliwa sio hadi uambiwe, ukiona nchi kupewa visa yake ni hadi jasho likutoke haswa ujue ndio kukataliwa kwenyewe huko.Ipi nyingine imetukataa?
Dubai easy na nchi za Africa, kwngine kote hata kama hawasemi waguse uone, Trump hanaga unafiki anasema tu liveIpi nyingine imetukataa?
Na kipindi cha mavuno kuna kuwa na wimbi la wajawazito wapya🤣Na hawa hawa ndio wanazaa hovyo hovyo kama mapanya.
Yakisha kula ugali yakashiba, Hakuna kingine wawazacho zaidi ya ngono na kuzaa hovyo.
Halafu wanakuja kuandika pumba hapa.
Ati jana pale kwenye msiba kilamtu anamtaja mungu? Yaani uibe kura na kuuwa watu kisha umuombe mungu???CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendeleza utawala wake wa kidhalimu.
That sababu, and thats whyLazima kuna sababu. Lakini why tulazimishe? Tunaweza kwenda nchi nyingine