Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

CCM mbele kwa mbeleeee
 
Tanzagiza
 
Kwani tusipoenda marekani tutakufa?
Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Tanzania inaweza nini zaidi ya ufisadi, wizi, ubadhirifu wa mali za umma, mauaji na siasa za uchawa?

Kuna chochote mmefanikiwa kufanya wenyewe bila msaada wowote ule wa kifedha au kiutaalamu kutoka kwa wazungu?

Au ushakunywa wanzuki zako huko kijijini kwenu Samvula chole, unaona kwamba wewe ni tajiri sana?
 
Wanadai uhakika wa ugali upo mkuu Mungu kawaletea mvua za kutosha na mlenda unajiotea tu🤣🤣
 
Afrika ndio Pepo ya wazungu , waarabu na wayahudi . Starehe ipo Africa Kila mwaka wazungu wanatunza fedha ili waje kufurahia maisha afrika. Huko marekani waafrika wanaenda kutafuta maisha tu
Nchi zinazoongoza kwa utalii duniani ni Ufaransa, Spain, US, Italia, Uturuki , Mexico, Uingereza, Ujerumani, Ugiriki na Australia. Sisi tunazidiwa hata na Saudi Arabia na Israel ambazo watu wanaenda kuhiji dini zao zaidi.
 
Na hawa hawa ndio wanazaa hovyo hovyo kama mapanya.

Yakisha kula ugali yakashiba, Hakuna kingine wawazacho zaidi ya ngono na kuzaa hovyo.

Halafu wanakuja kuandika pumba hapa.
Na kipindi cha mavuno kuna kuwa na wimbi la wajawazito wapya🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…