CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #41
tumuunge mkono mtu anayebambikia watu kesi??Maana ya Extrovert ni Mtu anayefikiri juu ya watu wengine Why aren't you?!
Tumuunge mkono mama Samia
Kambambika nani?tumuunge mkono mtu anayebambikia watu kesi??
Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed toconsistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectorsamani iwe nanyi,
Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "
Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,
RMB wanasema nanukuu, "This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,
Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,
.........Kazi iendelee .........
==================================
Here are the top 10 best African countries to invest in 2021
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.
North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco. Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively. This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
“We created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
“Although the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.
Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB
Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services. Côte d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the “Big Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
View attachment 1957136
nakutakia jioni njema chief.Kambambika nani?
Soma habari nzima,Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed toconsistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors
"Attributed by Government consistent investment in PAST FEW YEARS" HABARI NDO HIYO!!!!
Ungependa awe na dira gani?Hana dira ya kueleweka kuwa anatupeleka wapi so siwezi kuwa shabiki mandazi mzee!
Tumekuelewa mkuuRais ni mtumishi wetu aenziwe kwa sababu gani? Anachotakiwa ni kufanya kazi ya kututumikia kwa nguvu na akili zake zote aliona anaweza ndo maana akaomba kura alaah!
amani iwe nanyi,
Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "
Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,
RMB wanasema nanukuu, "This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,
Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,
.........Kazi iendelee .........
==================================
Here are the top 10 best African countries to invest in 2021
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.
North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco. Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively. This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
“We created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
“Although the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.
Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB
Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services. Côte d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the “Big Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
View attachment 1957136
CCM ni CHAMATop 10 best African countries for investment
Egypt ranking first as Africa’s leading investment destinationafrica.businessinsider.com
IMF raises red flag over Tanzania’s bleak economic outlook
SATURDAY SEPTEMBER 25 2021
A vendor sells green pepper on Mabibo Street, Dar es salaam. The country faces an urgent balance of payment support. PHOTO | AFP
Summary
- According to the IMF, the Covid-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.
- Tanzania has committed to increase health spending and implement vaccination plans to contain the outbreak and save lives.
- According to the IMF, Tanzania’s previous government downplayed the impact of the coronavirus and as a result, it did not provide sufficient resources to address the health crisis and support affected economic sectors and households.
ADVERTISEMENT
By JAMES ANYANZWA
More by this Author
Tanzania requires urgent financial support of $1.1 billion (1.5 percent of GDP) in the next 12 months to avert a potential economic fallout arising from the Covid-19 pandemic and the rising import bill linked to rising crude oil prices.
The International Monetary Fund (IMF) says in its Country Report No 21/213, dated September 2021, that the country faces an urgent balance of payment (BOP) support as the government implements a comprehensive plan to tackle the Covid-19 shock in the wake of declining export receipts and rising import bill.
“Emergency imports of medicines, testing materials, and protective equipment are urgently needed to respond to the third wave of the pandemic. Acquiring and distributing vaccines are top priority which also require an expansion of vaccine deployment infrastructure,” says the report prepared by the IMF staff.
Pre-Covid levels
The additional funding need comes after the IMF Board on September 7, 2021, approved a disbursement of $567.25 million to Tanzania to help the country finance its urgent balance of payments needs arising from Covid-19.
The financing package comprised $189.08 million under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to $378.17 million under the Rapid Financing Instrument (RFI).
Related
ADVERTISEMENT
Samia woos investors to Tanzania
Kenya seeks to use IMF reserves to plug budget holes
Rwanda hits target in Covid vaccination drive
“The RCF disbursement and RFI purchase will contribute to closing the BOP gap and help catalyse further financial support from development partners. The urgent BOP need is expected to be resolved in 12 months,” the IMF said.
Foreign exchange reserves have declined by over $400 million to $5.2 billion in June from about $5.6 billion in 2019 while tourism receipts are expected to remain well below pre-crisis levels and the projected increase in oil and other commodity prices will increase the import bill and partly offset earnings from gold exports.
“The current account is expected to deteriorate by about 2.5 percent of GDP to 4.5 percent this fiscal year. Staff estimates an immediate balance of payments financing of $1.1 billion (1.5 percent of GDP), that if not addressed would result in severe economic disruption,” says report.
According to the IMF, the Covid-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.
According to the IMF, Tanzania’s previous government downplayed the impact of the coronavirus and as a result, it did not provide sufficient resources to address the health crisis and support affected economic sectors and households.
The pandemic and resultant slowdown in economic activity have increased poverty and negatively affected employment, with the World Bank estimating that poverty increased by about a million people in 2020 to about 27.1 percent, of which 600,000 was due to the pandemic-induced growth deceleration.
The economy is expected to remain subdued in 2021 after contracting to 4.8 percent last year.
Tanzania has committed to increase health spending and implement vaccination plans to contain the outbreak and save lives. It has also committed to prioritise social spending to protect the most vulnerable, support tourism sector and SME recovery and expedite clearance of domestic verified arrears.
Nadhani hujui kusoma na kuelewa Kiingereza ndiyo maana unakimbilia kusema pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu ilhali article unayosoma inasema kwa katika miaka michache iliyopita Tanzania imekuwa na maendeleo ya kasi sana. Mama samia hajamaliza hata mwaka mmoja kuweza kuweka impact yoyote kwenye maendeleo ya hayo yaliyopatika kuanzia miaka michache iliyopita. Article haijase,ma kuwa nchi ilikuwa inadoroa, bali nchi ilikuwa inakua kwa kasi sana ingawa ilikuwa haijafikia kiwango wanachotumia. Unaweza kuelewa mwaka 2014 ilikuwa wapi?Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,
..
Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Hili jambo liko dunia nzima,
Lakini COVID -19 kamwe haiwezi kuondoa mazingira mazuri ya uwekezaji kwa nchi, nadhani utakubaliana na mimi,
Rais wetu ni muwazi kila kitu anaweka wazi ndio maana tunamsapoti,
Tayari World Bank wameshapledge kumaliza hilo jambo,
Mungu ni mwema,
Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27/09/2021
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021. ____________________________________________ Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki...www.jamiiforums.com
Asante pacha kwa majibu mazuri sana,Hili jambo liko dunia nzima,
Lakini COVID -19 kamwe haiwezi kuondoa mazingira mazuri ya uwekezaji kwa nchi, nadhani utakubaliana na mimi,
Rais wetu ni muwazi kila kitu anaweka wazi ndio maana tunamsapoti,
Tayari World Bank wameshapledge kumaliza hilo jambo,
Mungu ni mwema,
Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27/09/2021
Masaa machache baada ya Rais Samia kuhutubia UN Gen Assembly huko New York Marekani na kurejea nchini || Sasa rasmi Makamu wa Rais benki ya dunia kutua Tanzania 27|28|09|2021. ____________________________________________ Makamu wa Rais wa benki ya dunia anayeshughulikia Ukanda huu wa Mashariki...www.jamiiforums.com
Mkuu sio kuwa waliokuwa wanamtakia SSH maafa wana ufahamu mpana wa maendeleo ya nchi yetu.MKUU UNAWAPA WATU SHIDA SANA,
Waliamini Samia atashindwa, Sasa haya mataarifa yako yanawachanganya sana,
Shikilia hapohapo, Hii ndio siasa sasa,
Kila kitu naushahidi, wanabaki kutukana tu,
Samia ni mpango wa Mungu
Tatizo lako hutaki nitaje jina Samia fine,Nadhani hujui kusoma na kuelewa Kiingereza ndiyo maana unakimbilia kusema pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu ilhali article unayosoma inasema kwa katika miaka michache iliyopita Tanzania imekuwa na maendeleo ya kasi sana. Mama samia hajamaliza hata mwaka mmoja kuweza kuweka impact yoyote kwenye maendeleo ya hayo yaliyopatika kuanzia miaka michache iliyopita. Article haijase,ma kuwa nchi ilikuwa inadoroa, bali nchi ilikuwa inakua kwa kasi sana ingawa ilikuwa haijafikia kiwango wanachotumia. Unaweza kuelewa mwaka 2014 ilikuwa wapi?