Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

Mkuu CM 1774858 asante kwa taarifa.

Nimekufuatilia sana maandiko yako nimegundua unao uzalendo wa kweli,

Mama Samia nikweli anafanya kazi kubwa wawekezaji wanarudi tena kwa kasi sana tuendelee kumwombea,

Hii habari ni mbaya sana kwa wale wakupinga pinga na kuonesha kuwa mama hafai,
πŸ‘‹πŸΏπŸ‘‹πŸΏπŸ‘‹πŸΏ
 
Umeshatumwa na kulipwa ujira tayari!!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website β€˜Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that β€œmultilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

β€œThe level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

β€œWith the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

β€œAs the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that β€˜COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
 
Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 
amani iwe nanyi,

Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "

Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,

RMB wanasema nanukuu, "
This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,

Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,


.........Kazi iendelee .........



=========================

Here are the top 10 best African countries to invest in 2021

  • North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco.
  • Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively.
  • This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.

According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
β€œWe created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
β€œAlthough the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.


Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB

  1. Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19.
  2. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government.
  3. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services.
  4. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years.
  5. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low.
  6. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector.
  7. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services.
  8. CΓ΄te d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan.
  9. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the β€œBig Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth.
  10. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1957136
Kuna mambo mengi mazuri yanakuja
 
amani iwe nanyi,

Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "

Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,

RMB wanasema nanukuu, "
This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,

Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,


.........Kazi iendelee .........



=========================

Here are the top 10 best African countries to invest in 2021

  • North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco.
  • Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively.
  • This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.

According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
β€œWe created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
β€œAlthough the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.


Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB

  1. Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19.
  2. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government.
  3. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services.
  4. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years.
  5. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low.
  6. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector.
  7. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services.
  8. CΓ΄te d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan.
  9. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the β€œBig Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth.
  10. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1957136
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 
Ungependa awe na dira gani?
Dira ya kuonesha tutakuwa wapi after 5 years! Ana mchango gani katika swala la ajira kwa vijana na wadogo zetu wanaohitimu kila mwaka na kujazana mtaani! Solution ni ipi?
 
amani iwe nanyi,

Jarida maarufu barani Africa na duniani la" Business Insider Africa "limechapisha taarifa toka benki ya Rand Merchant Bank ya watu wa Africa Kusini zenye kichwa cha habari " Here are the top 10 best African countries to invest in 2021"kwa tafsi isiyo rasmi " Hizi hapa nchi kumi bora zaidi kwa uwekezaji barani Africa mwaka 2021 "

Mtakumbuka pia mwezi uliopita SHIKANA & GROUP pia waliitaja Tanzania kushika nafasi ya nne ( 4 ) baada ya Mauritius,Rwanda & Kenya kwa kuwa na mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa ni jambo jema sana na lazima kumshukuru Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan, Mazingira mazuri ni pamoja na utulivu wa kisiasa,Sera tabirika za kodi, Upatikanaji wa nishati za uhakika,Upatikanaji wa miundombinu rafiki ya usafirishaj wa bidhaa,Upatikanaji wa masoko,Utawala wa sheria, Uhuru wa watu kutoa maoni, Usalama wa ndani na nje,Mambo yote haya ndio yanaifanya nchi kutajwa kuwa bora kwa watu wote duniani kuja kuwekeza hii si habari ndogo wala si habari ya kupuuzwa na kila anayelitakia mema Taifa hili,

RMB wanasema nanukuu, "
This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings " kwa tafsiri isiyo rasmi, mwaka huu Tanzania pia imeingia kwenye nchi kumi bora kwa uwekezaji baada ya kuwa nje kwa miaka ya 2020 na 2019,

Pongeza za pekee zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikiwa kuiingiza nchi yetu kwenye orodha ya nchi kumi tu zenye mazingira mazuri zaidi ya kuwekeza barani Africa, Hii maana yake nini Mtu|kampuni yoyote duniania ikitaka kuwekeza wanapitia orodha hii ndipo waje kuwekeza Africa, Watanzania tutarajie mafuriko ya wawekezaji kuanzia sasa,


.........Kazi iendelee .........



=========================

Here are the top 10 best African countries to invest in 2021

  • North Africa remains dominant, with Egypt ranking first as Africa’s leading investment destination, followed by Morocco.
  • Rwanda and Botswana are among the more prominent countries to have moved up the rankings at fourth and fifth positions, respectively.
  • This year, Tanzania also made the top ten investment destinations list after failing to make the cut in the 2020 and 2019 rankings.
South African Rand Merchant Bank (RMB) has just released its list of top 10 investment attractive countries in Africa, aimed at investors targeting real assets in an economy or looking to expand businesses that rely on physical infrastructure.

According to the author, RMB Africa Economist Daniel Kavishe, a new world called for a new approach to the publication, and this year’s report assesses the extent of the pandemic’s impact by sketching the landscape of the continent pre-COVID-19 and then painting a picture of both its actual and potential outcomes through and post-pandemic.
Historically, investment destinations in Africa have been ranked based on the tenets of economic activity and business operating environment. However, this year’s approach required an extra layer of sophistication, taking into account key factors such as the operating environments, fiscal scores and development plans, all of which are key to investment attractiveness in a Covid world.
β€œWe created a new set of rankings that incorporated some of the unavoidable COVID-19-induced challenges, of which the operating environment score was one,” Kavishe said.
She added that a fiscal score was also part of the methodology, and this was essential because fiscal scores are important indicators of how governments respond to COVID-19.
β€œAlthough the pandemic brought much devastation, it also enabled opportunities for reimagining policies and trade relationships. Increasingly clear now is that home-grown strategies to tackle poverty, inequality and unemployment across Africa must be implemented. If not, all of Africa suffers,” Kavishe noted, adding that capital will flow naturally to economies offering a good mix of opportunity and ease of doing business.


Here are the top 10 investment attractive countries in Africa in 2021, according to RMB

  1. Egypt: While Egypt’s economy was hard hit by the pandemic, it was also one of the first to bounce back to a path of growth. This, owing to the swift measures it introduced and the fact that it been on a stronger footing at the outbreak of COVID-19.
  2. Morocco: The economy of Morocco continues to benefit from political stability. A special fund to combat COVID-19 was established in 2020, representing 2.7% of GDP. Two-thirds of the funds were to be provided by private sources and one third by the government.
  3. South Africa: The southern-most country in Africa offers a strong manufacturing and retail base that will continue to support southern African regional economies with goods and services.
  4. Rwanda: Rwanda continues to benefit from the efforts it has made to improve its operating environment. Furthermore, as part of the National Strategy for Transformation (NST), various investments should support the construction and energy sectors over the next few years.
  5. Botswana: The country has high foreign exchange reserves, which have enabled it to weather the pandemic-induced economic storm better than most. The Pula Fund, a sovereign fund created in 1994 that finances a large part of the budget deficit, has meant that fiscal dependency on debt has been low.
  6. Ghana: Ghana entered the current crisis on a relatively stronger footing than its African peers. Structurally, its economy has seen major shifts over the past few years, positioning it for significant growth going forward. This is supported by primary-sector industries like oil and gold and accelerated development in the tertiary sector.
  7. Mauritius: Aided by an extremely favourable tax regime, its financial sector will remain one of the main drivers of Mauritius’ economy into the future – notably through cross-border investment activities and banking services.
  8. CΓ΄te d’Ivoire (CIV): A rise in private investment should continue to fuel construction, agri-industry and services (trade, transport and ICT in particular). Private investment will benefit from the impetus provided by public investment under the 2016-20 National Development Plan.
  9. Kenya: According to RMB, the Kenyan government’s efforts to ensure that implementation of the β€œBig Four” plan focused on industrialisation, universal health coverage, food security and affordable housing will invariably lead to fast economic growth.
  10. Tanzania: Tanzania has been on a rapid path of development over the past few years. This growth can be attributed to consistent public investment from the government in key secondary and tertiary sectors, ranging from the energy sector to advancements in the telecommunications and finance sectors.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1957136


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
 
Dira ya kuonesha tutakuwa wapi after 5 years! Ana mchango gani katika swala la ajira kwa vijana na wadogo zetu wanaohitimu kila mwaka na kujazana mtaani! Solution ni ipi?
Nitakuletea hii mkuu wangu
 
Tangu aingie yy kauwa genge la watu wasio onekana/wasio julikana mara moja. Mpk ss nasema TZ tuko salama
 
umekuwa Baghdad Bob, hope wanakulipa vizuri 🀣
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI

Tumshukuru sana Mungu wetu
 
Back
Top Bottom