Ndio mwendo wa Afrika Mashariki, mbele kwa mbele hehehehe hadi raha aisei.....
Hongera Wabongo....
Vifaranga vya kuku 6,400 vyapigwa kiberiti
Kwa sasa huku Tanzania Kwetu hii siyo Habari Mkuu labda kawahabarishe Watu wa huko Kwenu Kericho, Isilii na Eldoret ambao hawajaijua.
Wacha nikiweka Na fisi lakini dhuluma Na ukadamizaji wa Hali za msingi zipo Mimi. Wizi wa kura wazi halafu naambiwa niatia Dua za msani. Give justice and peace will follow. Heri nikapambane Na hao fisi. Lakini kwa mada yako Tanzania Wana Kijiji cha like sana. Sio mifugo, sasa ni vifaranga!!!!Ndio mwendo wa Afrika Mashariki, mbele kwa mbele hehehehe hadi raha aisei.....
Hongera Wabongo....
Wakenya ambao kutwa mnataka tupigane ndani ya nchi hii muna cha kujifunza hapa, hamna pa kukimbilia, tumezungukwa na majirani waliojawa chuki balaa, tusipoijenga nchi yetu na kuwa wazalendo, tutanyooshwa mpaka basi.
Tutie bidii na kukuza uchumi wetu na kufanya yetu ya ndani, naomba hii habari ipostiwe kwenye mitandao yote ya kijamii ya Kenya, nina uhakika kuanzia hapo tutajua umuhimu wa kuzingatia amani na kuishi kama ndugu ndani ya nchi yetu. Huko nje kuna fisi wanatusubiri balaa.
Vifaranga vya kuku 6,400 vyapigwa kiberiti
Wacha nikiweka Na fisi lakini dhuluma Na ukadamizaji wa Hali za msingi zipo Mimi. Wizi wa kura wazi halafu naambiwa niatia Dua za msani. Give justice and peace will follow. Heri nikapambane Na hao fisi. Lakini kwa mada yako Tanzania Wana Kijiji cha like sana. Sio mifugo, sasa ni vifaranga!!!!
Alikopa ili afanye biashara haramu??.Anavuna alichopanda.Why wachome kumtia mtu hasara,wanaijua biashara ama wanaiskia,na mwingine kakopa huo mtaji sehemu! Acheni kutia wenzenu hasara!
Hasira zetu. Si kwenye mtaji wa huyo mmiliki. Bali kuwachoma moto Hao vifaranga. Vile vifaranga vimekosa nini.Alikopa ili afanye biashara haramu??.Anavuna alichopanda.
hivi tuna barrier za kuzuia ndege wa angani? au nao hawanaga magonjwaHivyo vifaranga hata kama vingekuwa vinakatiza border kutoka Mexico kwenda Marekani vingepigwa moto tu! Wewe utaingiza vipi live birds nchi ya jirani bila utaratibu, kama vina ugonjwa je?
Kma vilikua na magonjwa ambukizi je? WamgevifanyajeWhy wachome kumtia mtu hasara,wanaijua biashara ama wanaiskia,na mwingine kakopa huo mtaji sehemu! Acheni kutia wenzenu hasara!