Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi

Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi

Sera za Rais Samia hususani za kufungua Nchi zinaendelea kuzaa matunda na kuwaacha midomo wazi washindani wake na wenye chuki binafsi.

Lengo la watalii Milioni 5 liliwekwa lifikiwe mwaka 2025 lakini kabla ya mwaka huo tayari idadi hiyo imefikiwa mwaka 2024 Kwa watalii wa ndani zaidi ya miliioni 3.2 na watalii wa Kimataifa zaidi ya Milioni 2.1.

View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6

Ukweli lazima usemwe kwamba hakuna namna Samia ameweza kufaulu.kwa Ukubwa sana Kila sekta kiasi kwamba Wapinzani wake wamebakia kuokoteza vijisababu vya kijinga visivyo na mashiko.

========================================================
Tanzania hosted 5.36 million tourists in 2024, a record high and breaking its target of attracting 5 million tourists by 2025, said Pindi Chana, minister for natural resources and tourism, Friday.

Chana told a meeting of stakeholders in the tourism industry, including investors, travel companies, and government officials in the port city of Dar es Salaam, that out of the total tourists that visited the country's attractions, 3.22 million were domestic tourists and 2.14 million were international visitors.

The tourism sector generated approximately 4 billion U.S. dollars in revenue last year, falling short of the ambitious target set by the governm

My Take
Tusipoteze mda wa kufanya uchaguzi wakati Kiongozi anayetoa majibu yupo. Pia soma UNWTO: Tanzania Yashika Namba 6 Duniani Kwa Kasi ya Kuvutia Watalii.Wadau Wapongeza Royal Tour ya Rais Samia.

View: https://www.instagram.com/p/DFgIjV5tsCu/?igsh=OGRrNTR5cnA0YjM3

upande wa pili nasikia pia tz imevunja rekodi ya kutembeza bakuli nje kwa trump na mabeberu
 
Nchi yetu inavituko sana.Yaani milioni Tano Hadi wanashika mabango kufurahia..Ona misiri
 

Attachments

  • Screenshot_20250204-092225.jpg
    Screenshot_20250204-092225.jpg
    297 KB · Views: 1
Sasa kama watu walikua lock down, baada ya kufunguliwa mipaka si lazima watoke kuzunguka?

Mfano mtaani kwako unafanya biashara ya kuuza maji, ikatokea wiki nzima maji yamekatika, siku yakirudi si kutakua na mafuriko ya watu kuja kwako kuchota maji? Lakini baada ya muda itakua normal.


Hii ndio sawa na unachokisema mkuu.
 
Safi but M5 bado ndogo. Watalii wa nje peke yao ndo angalau wawe M5 halafu sisi wa ndani tupachafue kabisa hata kwa 10m.
 
Kwa nini kipindi cha Jiwe na JK mlikuwa hamuwaweki kweny hesabu wanaoitwa watalii wa ndani??
 
Safi but M5 bado ndogo. Watalii wa nje peke yao ndo angalau wawe M5 halafu sisi wa ndani tupachafue kabisa hata kwa 10m.
Kwa nini kipindi cha nyuma watalii wa ndani walikuwa hawawekwi kwenye hesabu?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa nini kipindi cha nyuma watalii wa ndani walikuwa hawawekwi kwenye hesabu?
Sijajua mkuu. Pengine ni kampeni ya kuonyesha umuhimu wa watu wa ndani au pengine idadi ilikuwa ndogo sana au pengine ni kuboost idadi ionekane kubwa ungozi upate sifa n.k suala la muhimu ni uhalisia wa data na tunapotaka kufika.
 
Nchi yetu inavituko sana.Yaani milioni Tano Hadi wanashika mabango kufurahia..Ona misiri
Ndio lazima washike mabango Kwa sababu miaka 2 iliyopita tulikuwa chini ya 3mln.

Kuna Nchi zinafurahia 500k
 
Hakuna faida yoyote kwa walala hoi
Wanajimilikisha wao tu
Wananchi maisha yao yako taabani
Wakati nchi imejaa maziwa na asali
 
Sera za Shari za Utawala uliokuwepo na pia kutowahudhuria mialiko ya majirani au kunimuika na wenzie.

On top of that kupora hela za wafanyabiashara wakakimbia na ndio maana uwekezaji uliporomoka
Je, ulishawahi kukemea hayo enzi hizo?
 
Wewe ndio mjinga nadhani.Mbona tuna mengi ya kunivunia kuliko hayo matatizo unayoyataja wewe ambayo ndio unayaona?

Mafanikio kwenye sekta ya Utalii ni exceptional na kazi inaendelea 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DFnvCbOtpKH/?img_index=6&igsh=OWtxZm8zNTBpNHR4

Itoshe kusema Bado hujacheka fanya kucheka tena 👇👇

View: https://x.com/MNRT_Tanzania/status/1863564920177996059?t=0rn3nwDyGZe6BHHKchfw5A&s=19


Nani kawadanganya hizi data zinasaidia nchi yetu ilivyo kubwa? Kama tuna madarasa Dar, haina maaana Katavi au Kigoma kila shule ina madarasa na vyoo.

Tujikite kuijenga nchi yetu. Bado ina uhitaji mkubwa sana wa maendeleo. Nyinyi mnataka tujikite kwenye kuimba sifa za watu ili muendelee kula kupitia siasa.

Ukiangalia nchi zilizokataa democrasy kule West Africa wanajeshi wanazitwaa, ni sababu ya haya haya mambo ya uongo uongo, halafdu watu wanazidi kuwa maskini.

Waswahili wanasema anayelala usimuamshe, ukimwamsha utalala wewe...endeleeni kutembelea upepo wa hizo data sijui zinatoka wapi
 
Nani kawadanganya hizi data zinasaidia nchi yetu ilivyo kubwa? Kama tuna madarasa Dar, haina maaana Katavi au Kigoma kila shule ina madarasa na vyoo.

Tujikite kuijenga nchi yetu. Bado ina uhitaji mkubwa sana wa maendeleo. Nyinyi mnataka tujikite kwenye kuimba sifa za watu ili muendelee kula kupitia siasa.

Ukiangalia nchi zilizokataa democrasy kule West Africa wanajeshi wanazitwaa, ni sababu ya haya haya mambo ya uongo uongo, halafdu watu wanazidi kuwa maskini.

Waswahili wanasema anayelala usimuamshe, ukimwamsha utalala wewe...endeleeni kutembelea upepo wa hizo data sijui zinatoka wapi
Safari ya kujenga Nchi ni pamoja na kuvutia uwekezaji kama huo unaoleta pesa.

Sasa usipojiponhesa Kwa malengo na kuweka mengine unategemea nini?
 
Sera za Rais Samia hususani za kufungua Nchi zinaendelea kuzaa matunda na kuwaacha midomo wazi washindani wake na wenye chuki binafsi.

Lengo la watalii Milioni 5 liliwekwa lifikiwe mwaka 2025 lakini kabla ya mwaka huo tayari idadi hiyo imefikiwa mwaka 2024 Kwa watalii wa ndani zaidi ya miliioni 3.2 na watalii wa Kimataifa zaidi ya Milioni 2.1.

View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6

Ukweli lazima usemwe kwamba hakuna namna Samia ameweza kufaulu.kwa Ukubwa sana Kila sekta kiasi kwamba Wapinzani wake wamebakia kuokoteza vijisababu vya kijinga visivyo na mashiko.

========================================================
Tanzania hosted 5.36 million tourists in 2024, a record high and breaking its target of attracting 5 million tourists by 2025, said Pindi Chana, minister for natural resources and tourism, Friday.

Chana told a meeting of stakeholders in the tourism industry, including investors, travel companies, and government officials in the port city of Dar es Salaam, that out of the total tourists that visited the country's attractions, 3.22 million were domestic tourists and 2.14 million were international visitors.

The tourism sector generated approximately 4 billion U.S. dollars in revenue last year, falling short of the ambitious target set by the governm

My Take
Tusipoteze mda wa kufanya uchaguzi wakati Kiongozi anayetoa majibu yupo. Pia soma UNWTO: Tanzania Yashika Namba 6 Duniani Kwa Kasi ya Kuvutia Watalii.Wadau Wapongeza Royal Tour ya Rais Samia.

View: https://www.instagram.com/p/DFgIjV5tsCu/?igsh=OGRrNTR5cnA0YjM3

Hakuna kama Samia mitano tena
 
Back
Top Bottom