Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #21
Likizo siku 30.Kupumzika muhimu sio kila siku kazi tu.. Ziongezwe
Siku 8 kila mwezi!
Siku upo MP .
Ugonjwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likizo siku 30.Kupumzika muhimu sio kila siku kazi tu.. Ziongezwe
Thats not an official day missez😁kuna sikukuu ya Wajinga..!!😂😂
Neno, sukukuu nyingi ni za kipagani, kusheherekea wafu!
😂😂Thats not an official day missez😁
Ebu mkuu tupe hiyo ya Bukina Faso tuone nani anakula bata zaidiHujafika Burkina Faso wewe
Wazaramo hamtaki kazi, mnalilia TASAF.Kupumzika muhimu sio kila siku kazi tu.. Ziongezwe
Hapo za kitaifa 7 tu, tena ingetakiwa ziwe 5, Karume day & mapinduzi ilitakiwa ziwe sherehe za Zanzibar pekee. Na Nyerere day & Uhuru day ziwe za Bara pekeeNew Year
Mapinduzi
Karume Day
Muungano Day
Mei Mosi
Saba Saba
Nane Nane Day
Nyerere Day
Christmas Day
Boxing Day
Good Friday
Easter Monday
Eid El Fitr
Mauli day
id El Hajji[siku mbili]
Mapinduzi
Uhuru
ZIJAZO
1. Magufuli Day.
2. Mama Day
WANAOTUKOPESHA
1. USA=8
2. UINgereza =6
Samia DayHapo za kitaifa 7 tu, tena ingetakiwa ziwe 5, Karume day & mapinduzi ilitakiwa ziwe sherehe za Zanzibar pekee. Na Nyerere day & Uhuru day ziwe za Bara pekee
Uganda ndio balaa kwa mapumzikoHujafika Burkina Faso wewe
Naunga mkono hoja
Oh yeah lets ball ..😂😂
I know that very well, am just here playing along..!
Tupe reference ya hii: Mawlid nnabawi kama sikukuu. mi nakupa reference ya Eid lftir na Eid l-adhuhaHapo siku kuu zangu ni 3 tu, Eid lfitr, Lhajj na Mawlid nnabawi
Nashangaa sana kuna waislamu wanacelebrate mpaka siku za mapinduzi, muungano, uhuru na karume day, maana yake hapo umekubaliana na mauwaji na mateso dhidi ya waislamu nchini Zanzibar dhidi ya makafiri wa Uganda na Tanzania kwa ujumla, namashaka sana wakisaidiwa na waislamu kuuwa waislamu wenzao. Huko walipo wanakipata wanachostahili.
Siku ya wanawake ni moja, ya mtoto ni moja na wazee ni moja the rest ni za wanaume.Mashujaa, siku ya wanawake, siku ya mtoto, siku ya kina baba...
Wakiingia kazini hakuna habari ya Yanga kupewa ushindi wa bure, Wema sepetu tako limeshuka, Mange anatafutwa ila ni kazi kazi,Naskia China hii siku ya wafanyakazi wao huwa na holiday ya siku 5. Hapo bado new year sijui huwa na siku ngapi. Mana wao wana new year yao