mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Daimondi na zuchu vepeeeWakiingia kazini hakuna habari ya Yanga kupewa ushindi wa bure, Wema sepetu tako limeshuka, Mange anatafutwa ila ni kazi kazi,
😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daimondi na zuchu vepeeeWakiingia kazini hakuna habari ya Yanga kupewa ushindi wa bure, Wema sepetu tako limeshuka, Mange anatafutwa ila ni kazi kazi,
New Year
Mapinduzi
Karume Day
Muungano Day
Mei Mosi
Saba Saba
Nane Nane Day
Nyerere Day
Christmas Day
Boxing Day
Good Friday
Easter Monday
Eid El Fitr
Mauli day
id El Hajji[siku mbili]
Mapinduzi
Uhuru
ZIJAZO
1. Magufuli Day.
2. Mama Day
SIKUKUU ZA WANAOTUKOPESHA KUFANYA SIKUKUU
1. USA-MAREKANI =8
2. Uingereza =6
Wikipedia ni sawa na takwimu zile za jiwe 2015-20, haizaminiki.View attachment 2978726
Source : wikipedia
Dai amu-unfollow Zuu.Daimondi na zuchu vepeee
😄
Ova
naifananisha Tz na walalahoi wa uswahilini hawana pesa lakini kwenye shughuli za sherehe huwa kosi wanachangiaNew Year
Mapinduzi
Karume Day
Muungano Day
Mei Mosi
Saba Saba
Nane Nane Day
Nyerere Day
Christmas Day
Boxing Day
Good Friday
Easter Monday
Eid El Fitr
Mauli day
id El Hajji[siku mbili]
Mapinduzi
Uhuru
ZIJAZO
1. Magufuli Day.
2. Mama Day
SIKUKUU ZA WANAOTUKOPESHA KUFANYA SIKUKUU
1. USA-MAREKANI =8
2. Uingereza =6
WAnakopa vijora , deni kila nyumba kufanyia sikukuu.naifananisha Tz na walalahoi wa uswahilini hawana pesa lakini kwenye shughuli za sherehe huwa kosi wanachangia
Tulishaambiwa, hapa kazi tu!Kupumzika muhimu sio kila siku kazi tu.. Ziongezwe
And it's not that simple ku-edit kama unavyofkiri...Wikipedia ni sawa na takwimu zile za jiwe 2015-20, haizaminiki.
Any person can edit !
Waarabu na indian .And it's not that simple ku-edit kama unavyofkiri...
But ina credibility ya over 80%
Other sites:
Countries with the Most Holidays 2024
worldpopulationreview.com
![]()
These 12 Countries Have The Most Public Holidays
From vibrant festivals to Folkloric culture, these countries have the most public holidays in the world.www.thetravel.com
Bara Asia ndiyo wapenda sikukuu
Hata Wachina...Waarabu na indian .
Acha kele wewe,hapo tu sudan waislam wanafyekana kama hawana akili vile, islam Vs Islam,bure kabisaHapo siku kuu zangu ni 3 tu, Eid lfitr, Lhajj na Mawlid nnabawi
Nashangaa sana kuna waislamu wanacelebrate mpaka siku za mapinduzi, muungano, uhuru na karume day, maana yake hapo umekubaliana na mauwaji na mateso dhidi ya waislamu nchini Zanzibar dhidi ya makafiri wa Uganda na Tanzania kwa ujumla, namashaka sana wakisaidiwa na waislamu kuuwa waislamu wenzao. Huko walipo wanakipata wanachostahili.
Sisi waislamu tunachukiana sana, Bora hata Makafiri.Acha kele wewe,hapo tu sudan waislam wanafyekana kama hawana akili vile, islam Vs Islam,bure kabisa
DayariSource?
Sorry, sio sikukuu.Tupe reference ya hii: Mawlid nnabawi kama sikukuu. mi nakupa reference ya Eid lftir na Eid l-adhuha
Katika Sunnah, Anas bin Maalik (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema: ''Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alikuja Madiynah na walikuwa wana siku mbili ambazo walikuwa wakipumzika na kustarehe na kucheza. Akasema: ((Hizi ni siku gani?)) Wakasema: "Ni siku ambazo tulikuwa tukicheza na kustarehe katika Ujahiliya". Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akasema: ((Allaah Amekupeni zilizo bora kuliko hizo; Yawmul-Adhwhaa ['Iydul-Adhwhaa] na Yawm Al Fitwr ['Iydul-Fitwr] )) [Abu Daawuud]
Sorry, sio sikukuu.
Bali nilikusudia kupata live/ijaza kwa waislamu kote duniani
Je imethibiti kusoma Mawlid katika sunnah?
View: https://youtu.be/E6XEl0cUt9Y?si=FhpHwBrk2I5WqfOH
BAKWATA wameiambia serikali?
sisi tunajua ni sikukuu na wanetu wa kilamu wanatamalaki coco beach,bamba beach , peponi camp, pori la simba na baa zote zinafurika bila kusahau gesti house siku hizo huwa zinaja sana.
Wanasoma, sisi kwetu siku ya sikukuu ni kusutana na kuzua chaos na hasira kwa upande unao tofautiana nao.Waige nchi za kiislamu, mfano OMAN siku hiyo hakuna kazi, watu wanapumzika bila kufanya hayo uliyoyata, if kama nikweli!
Sisi bongo Mawlid wanaifanya sivyo, kitu ambacho hakipo kabisa, kama umeisikiliza hiyo clip niliyopost utaelewa.
Wanasoma, sisi kwetu siku ya sikukuu ni kusutana na kuzua chaos na hasira kwa upande unao tofautiana nao.