Tanzania yaweka rekodi kuwa na sikukuu nyingi Duniani!

Tanzania yaweka rekodi kuwa na sikukuu nyingi Duniani!

New Year
Mapinduzi
Karume Day
Muungano Day
Mei Mosi
Saba Saba
Nane Nane Day
Nyerere Day
Christmas Day
Boxing Day
Good Friday
Easter Monday
Eid El Fitr
Mauli day
id El Hajji[siku mbili]
Mapinduzi
Uhuru

ZIJAZO
1. Magufuli Day.
2. Mama Day

SIKUKUU ZA WANAOTUKOPESHA KUFANYA SIKUKUU
1. USA-MAREKANI =8
2. Uingereza =6
Screenshot_2024-05-02_094942.jpg

Source : wikipedia
 
New Year
Mapinduzi
Karume Day
Muungano Day
Mei Mosi
Saba Saba
Nane Nane Day
Nyerere Day
Christmas Day
Boxing Day
Good Friday
Easter Monday
Eid El Fitr
Mauli day
id El Hajji[siku mbili]
Mapinduzi
Uhuru

ZIJAZO
1. Magufuli Day.
2. Mama Day

SIKUKUU ZA WANAOTUKOPESHA KUFANYA SIKUKUU
1. USA-MAREKANI =8
2. Uingereza =6
naifananisha Tz na walalahoi wa uswahilini hawana pesa lakini kwenye shughuli za sherehe huwa kosi wanachangia
 
Ungetuwekea na sikukuu za nchi nyingine uzi wako ungenoga sana.

Zaidi ya hapo ni majungu tu
 
Hapo siku kuu zangu ni 3 tu, Eid lfitr, Lhajj na Mawlid nnabawi

Nashangaa sana kuna waislamu wanacelebrate mpaka siku za mapinduzi, muungano, uhuru na karume day, maana yake hapo umekubaliana na mauwaji na mateso dhidi ya waislamu nchini Zanzibar dhidi ya makafiri wa Uganda na Tanzania kwa ujumla, namashaka sana wakisaidiwa na waislamu kuuwa waislamu wenzao. Huko walipo wanakipata wanachostahili.
Acha kele wewe,hapo tu sudan waislam wanafyekana kama hawana akili vile, islam Vs Islam,bure kabisa
 
Tupe reference ya hii: Mawlid nnabawi kama sikukuu. mi nakupa reference ya Eid lftir na Eid l-adhuha


Katika Sunnah, Anas bin Maalik (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema: ''Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alikuja Madiynah na walikuwa wana siku mbili ambazo walikuwa wakipumzika na kustarehe na kucheza. Akasema: ((Hizi ni siku gani?)) Wakasema: "Ni siku ambazo tulikuwa tukicheza na kustarehe katika Ujahiliya". Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akasema: ((Allaah Amekupeni zilizo bora kuliko hizo; Yawmul-Adhwhaa ['Iydul-Adhwhaa] na Yawm Al Fitwr ['Iydul-Fitwr] )) [Abu Daawuud]
Sorry, sio sikukuu.

Bali nilikusudia kupata live/ijaza kwa waislamu kote duniani

Je imethibiti kusoma Mawlid katika sunnah?

View: https://youtu.be/E6XEl0cUt9Y?si=FhpHwBrk2I5WqfOH
 
BAKWATA wameiambia serikali?
sisi tunajua ni sikukuu na wanetu wa kilamu wanatamalaki coco beach,bamba beach , peponi camp, pori la simba na baa zote zinafurika bila kusahau gesti house siku hizo huwa zinaja sana.

Waige nchi za kiislamu, mfano OMAN siku hiyo hakuna kazi, watu wanapumzika bila kufanya hayo uliyoyata, if kama nikweli!

Sisi bongo Mawlid wanaifanya sivyo, kitu ambacho hakipo kabisa, kama umeisikiliza hiyo clip niliyopost utaelewa.
 
Waige nchi za kiislamu, mfano OMAN siku hiyo hakuna kazi, watu wanapumzika bila kufanya hayo uliyoyata, if kama nikweli!

Sisi bongo Mawlid wanaifanya sivyo, kitu ambacho hakipo kabisa, kama umeisikiliza hiyo clip niliyopost utaelewa.
Wanasoma, sisi kwetu siku ya sikukuu ni kusutana na kuzua chaos na hasira kwa upande unao tofautiana nao.
 
Kabla hujaweka upupu wako ungefatilia kidogo basi hata marekan wao wanazo ngapi

Na ushamba wako umejuisha na ambazo ni grobal

Marekan kila mwezi wanazo za kwao
 
Back
Top Bottom