Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

Zifutwe...,usajili wao ni kinyume na wanavyofanya.

Hivi kwa mfano huo mkopo tukipewa au tukinyimwa wao watapoteza/watafaidika na nini?Ingawa faida ni kubwa kwa kuwa uwepo wa asasi hizo ni kwa ajili ya watu ambao asasi hizo ndio mtaji/mishahara yao.

Bora ukutane na Joka porini unaweza kulidhibiti au kulikimbia kuliko Joka lililo ndani mwako.....
"Inashangaza na ni mapema sana......"
 
Hivi zito ni.muislamu au kafiri kwa hiyo hizo mimba za watoto kwake ruksa

Haelewi wazungu wanachotaka huyu wanataka watoto wetu waharibike Kama walivyoharibika wa kwao

Walianza kufuta adhabu za viboko mitoto ikawa hovyo ,wakaja kuruhusu mimba mashuleni na kuruhusu urafiki wa jinsia moja kuanzia mashuleni

Lengo la sio hasa kutetea mtoto wa kike akizaa aendelee na masomo lengo la wao kubwa Wanataka watoto wengi wa kike wazae wanajua wakizaa hawarudi shule tena sababu ya majukumu ya kulea mtoto na kuwa hata wakirudi wakishazaa uwezo wao wa kusoma utakuwa chini kwa hiyo mitoto ya kike mijinga itakuwa mingi
 
Zifutwe...,usajili wao ni kinyume na wanavyofanya.
Hivi kwa mfano huo mkopo tukipewa au tukinyimwa wao watapoteza/watafaidika na nini?Ingawa faida ni kubwa kwa kuwa uwepo wa asasi hizo ni kwa ajili ya watu ambao asasi hizo ndio mtaji/mishahara yao.
Bora ukutane na Joka porini unaweza kulidhibiti au kulikimbia kuliko Joka lililo ndani mwako.....
"Inashangaza na ni mapema sana......"
Wapuuzi sana hawa wanajiita wa kiraia kumbe wanajal tumbo zao tu


USSR
Screenshot_20200126-120631.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa choote hicho ni: wanafunzi waoneshane "show" za ngono watungishane mimba na waruhusiwe kuendelea na masomo ambayo serikali inatoa bure kwa kodi za wananchi.

Pamoja na kuruhusu mambo ya ushoga! Huo ni mkopo na utalipwa tena kwa riba na kutolewa kwenyewe sidhani kunatakiwa kuambatana na masharti mengine zaidi ya riba! Huu sio msaada ni mkopo! Kama ni msaada kwa gharama za ngono kwa watoto wa shule na ushoga bora waache!
Kweli kabisa mkopo gani wa kuhusisha ngono za watoto mashuleni to hell na mkopo wao.Eti Mara ohh ruhusuni ushoga ndio tuwakopeshe shenzi kabisa

Zitto kwa hili amechemka.Hajui hata maana ya mkopo.Mkopo Ni biashara unatakiwa kulipa kwa riba.Hizo zingine porojo tu Kama hawataki kufanya hiyo biashara to hell with them na Zitto Kabwe wao
 
Wapuuzi sana hawa wanajiita wa kiraia kumbe wanajal tumbo zao tu


USSRView attachment 1335187

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu Zitto hajui programs za QT zipo kwa ajili nini?
Kuwachanganya wanafunzi wazazi na wasio wazazi ni kuruhusu mimba mashuleni na kuibaka sheria inayowalinda watoto dhidi ya unyanyasaji wa kingono.
Naomba kumuuliza Ndugu.Zitto Kabwe "Hivi ana familia? na kama anayo Je watoto wake wanasoma katika shule hizi za Wanyonge?.
 
Mimi nilijua ni msaada kumbe mkopo. Hawa wazungu wanatuona sisi punguani haiwezekani watoe mkopo wenye masharti ya kuruhusu watoto wazaliane wakiwa shuleni.
Kwani wamewalazimisha kukopa?si mtumie zenu ili watoto wasizaliane mashuleni
 
Hivi huyu Zitto hajui programs za QT zipo kwa ajili nini?
Kuwachanganya wanafunzi wazazi na wasio wazazi ni kuruhusu mimba mashuleni na kuibaka sheria inayowalinda watoto dhidi ya unyanyasaji wa kingono.
Naomba kumuuliza Ndugu.Zitto Kabwe "Hivi ana familia? na kama anayo Je watoto wake wanasoma katika shule hizi za Wanyonge?.
Huyu zitto ndo kibaraka wa mabeberu babalao! Kwa kutoa post kwenye mitandao (tayari kaishapata mkwanja analipwa na mabeberu) kuonyesha anaunga mkono "ngono" za watoto shuleni kupelekea watoto wetu ambao wengine hata kubalehe hawajabarehe wasome na wazazi. Kuna mapandikizi ya mabeberu nchi hii pasua kichwa!
 
Anaekopa ndiye anaamua huko mkopo unaombwa kwa ajili ya shughuli gani,,. Hela ambazo serikali imewekeza kwenye elephant projects toka magufuli amekua Rais zingetosha kujenga infrastructures za kilimo cha umwagiliaji nchi nzima. Tatizo liko kwenye vipaumbele vya serikali.
Benki ya dunia sijui ndo wapuuzi au sisi ndo vilaza. Huwezi ona wanakupa mkopo mkubwa ujenge viwanda vidogo au uboreshe miundombinu ya kilimo mfano umwagiliaji. Wanatoa hela ambayo mpaka uje kuona faida yake ni baadae sana. Mfano hapa kwetu mtu anayekopa ili ajenge nyumba na anayekopa ili alime kwa umwagiliaji nani anarejesha hela mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
January 25, 2020

Polepole na fedha za World Bank tunazitaka

Katibu Uenezi CCM Humphrey Polepole azishutumu AZAKI kwa kuandika barua katika gazeti la Financial times online ambalo Polepole anasema ni jarida lenye kuheshimiwa dunia lililoandika barua ya Asasi za Kiraia (AZAKI) juu ya hali halisi. Polepole auliza kwanini walioandika barua hiyo kwa ulimwengu wasingekaa chini na serikali ya CCM Mpya kuzungumzia alizoita changamoto na tofauti..

 
Back
Top Bottom