Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia

Yaani ndege mnanunua cash,halafu elimu na afya mnaomba msaada ili mtanzania aendelee kunyanyaswa na virus CCM maana hiyo misaada italipwa na watanzania wote bila kujali chama angalia huyu mdudu alivyokuwa mjinga
 

Attachments

  • -mJB9vgSSJ7iHkPJ.mp4
    212 KB
Kwani hata kama imevuja shida nini wakati rais alisema si ni matajiri hatutaki misaada,wampe heko zito kawasaidia kutaka tusidhihirike ombaomba kwa kuwazuia wasitusaidiye
 
Kwani tumegeukia misaada tena?
 
Wanachama la wana, nashauri...Wao nao wawaandikie barua hao mabeberuz, hatuhitaji misaada, sisi nchi tajiri, fedha za ndani zinatutosheleza, tunaweza kuwakopesha na wao, wakajenga viwanda kama vyetu......namba zisomwe mpaka na mabeberu😂



Everyday is Saturday..............😎
 
Polepole ni zaidi ya Chakubanga. Eti 'barua iliyokuwa ikitakiwa kwenda ulaya"? Barua imeshatua huko yeye anawavunga vuvuzela wake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii barua ina elements za uhaini simbachawene aanzie hapa


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Pengine hii barua kavujisha mwenyewe ili awekwe ndani tuwape sababu Umoja was Ulaya na Marekan kisingizio cha kutuvuruga Mwaka huu wa Uchaguzi

Zitto aaachiwe Wanyonge wa Kigoma Ujiji wameapa kwenye Uchaguzi wa Mwaka huu
 
Msijaribu kumfanya Zitto aonekane sio mzalendo, nyie mnaonyima uhuru wa wengine ndani ya nchi yao ndio sio wazalendo, wacha wazungu wajue ubaya wenu, mnajiona miungu watu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…