joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Wacha kujiliwaza nani atarudi kwenye nchi ambayo is politically unstable, terrorism, crime and under American control?, hao wanaorudi ni wachache sana na hawana information ya nchi zingine za Africa, hasa Tanzania.Some things excite small kids and people who haven't experienced them.
Wacha kujiliwaza nani atarudi kwenye nchi ambayo is politically unstable, terrorism, crime and under American control?, hao wanaorudi ni wachache sana na hawana information ya nchi zingine za Africa, hasa Tanzania.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sisi CCM kwa maigizo!!!
How do you quantify your statement?Who would move to a poor country like Tanzania?
They need to be assured of their safety, food availability, politically stable country, higher economic growth, low poverty level with no slums, no terrorism and low crime rate [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Can't you see they're moving? Who would move to a poor country like Tanzania?
Fortunately, you're not them so you can keep your delusions to yourself.🤣They need to be assured of their safety, food availability, politically stable country, higher economic growth, low poverty level with no slums, no terrorism and low crime rate [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
It was a stupid response to a stupid statement. A stupid person wouldn't know though.😉How do you quantify your statement?
Tatizo wanasikiliza habari zilizohaririwa kupita kiasi kutoka media zenye HOFU.
Utatombwa sasa na wewe kushobokea vitu vya watu. Mlima ni wenu kiaje?!Utawaskia "ujuage hiyo ni editing na sio kweli, kenya iko na wageni wengi kuliko tanzania.
"Na mulima pia nayo ni yetu"
We choko unanitusi, hivi unanijua mi kiu ndani?....Utatombwa sasa na wewe kushobokea vitu vya watu. Mlima ni wenu kiaje?!
Acha ubaguzi na dharau kwa jinsia nyingine mkuu.Wahamiaji wenyewe ni wanawake tu inatia ukakasi
Buda tunazungumzia black diaspora ambao wamechoka kunyanyaswa wanatafuta nchi yenye mazingira mazuri kwa wao kurudi nyumbani Africa, hatuzingumzii wazungu au UN staff ambao wengi wao wanaishi maisha ya juu hawachanganyiki na raia wa kawaida.Yaani ndiyo munaanza sahi? Kenya iko na expatriates wengi weusi, wazungu, wahindi kutoka dunia mzima ambao wamechukua uraia ya Kenya.
UN sahi inajengea wafanyakazi wake waliostaafu na wakachukuwa uraia ya Kenya nyumba zaidi ya 8000 Nairobi inaitwa Habitat heights.
Makampuni mengi ya kigeni yakija kenya, managers hawataki kutoka hata kampuni ikianguka . Michael Joseph, Bob collymore wote wali chukua uraia ya Kenya. Mzungu naye aliyetumwa kuongoza east african breweries kutoka UK pia yeye amechukua uraia ya Kenya.
Hii ushamba ya kushabikia vitu vidogo kama mbwa imepata mfupa inatia huruma.
Umegeuza kichwa chini miguu juu, zaidi ya makampuni 500 ya Kenya yamekuja Tanzania na watanzania waliokuja Kenya ni wafanyabiashara ndogondogo. Tanzania inaongoza ukanda huu katika kupokea FDI nyingi zaidiTofauti ni moja, Tanzania inavutia watu wa kiwango cha chini, ilhali Kenya inavutia wafanya biashara kwa wingi.
Kweli Ujinga imekolea Tanzania. Ama ni utafiti ndiyo ngumu kwa watanzania kufanya.Umegeuza kichwa chini miguu juu, zaidi ya makampuni 500 ya Kenya yamekuja Tanzania na watanzania waliokuja Kenya ni wafanyabiashara ndogondogo. Tanzania inaongoza ukanda huu katika kupokea FDI nyingi zaidi
Kama kawaida yenu hamna akili na hamjui lolote hapa duniani zaidi ya kupika data na kuiba pesa za nchi yenu, Kenya haijawahi kufikisha FDI ya $2B tangu mlipopata uhuru, FDI yenu mwaka 2019 ni $1.3B na inazidi kushuka mwaka hadi mwakaKweli Ujinga imekolea Tanzania. Ama ni utafiti ndiyo ngumu kwa watanzania kufanya.
i) 2019, Tanzania ilipokea FDI ya $1.1 billion ilhali Kenya ilipokea $2.9 billion piga hesabu ujue gani ni nyingi kati ya $1.1 billion na $2.9 billion. Hii FDI ya Kenya iliongozwa na Technology funding. (2019 'blockbuster' year for foreign investments in Kenya)
ii) Najua wakenya ndiyo wawekezaji wakubwa katika east and central africa ikifatwa na Africa kusini. Makampuni ya Kenya yameajiri watu wengi afrika mashariki. Nyinyi kazi yenu ni kuchangia tu kwa omba omba, na wachuuzi wa soksi Gikomba.