hauleibrahim
Senior Member
- May 17, 2024
- 183
- 125
Tanzania inaweza kumaliza tatizo la ukosefu wa ajira Kwa asilimia mia Kwa wasomi mpka wasio wasomi.
Vitu vifuatavyo vinaweza badili Tanzania iwe ni soko la ajira milele.
Uvuvi.mikoa yote yenye bahari,maziwa Kwa wale vijana wanao penda uvuvi na wanao somea uvuvi wapewe elimu na vifaa vya kisasa wafanye uvivu wa kisasa huko huko makwao kwenye hizo fulsa za uvuvi.
Kilimo: serikali iwekeze upatikanaji wa pembejeo Kwa ubora vijijini hasa Kwa wakulima waliopo kule kulinda ukosefu wa ajira Kwa vijana vijijini mashamba yapo mengi ni kupatikana viwatilifu makini pamoja na elimu sahihi sekta ya kilimo itaajili vijana wengi wasomi na wasio wasomi mikoani bila kuja dar au mijini kuhangaikia ajira Kwa wasomi.
Ufugaji: serikali itoe elimu ya ufugaji wa kisasa vijijini hasa Kwa mikoa inayo fuga ng'ombe mbuzi nguruwe n.k elimu ya ufugaji wa kisasa ili tupate nyama nyingi ZeNye ubora wa kulika na kuuzika nje ya nchi
Pia serikali ijenge masoko ya hivyo vitu kila wilaya ili kupunguza wingi wa ajira kwenye eneo moja na kukosa riziki Kwa watu badala take kila kitu kiwe na soko lake humo humo vijijini
Vitu vingine vitakavyo maliza tatizo la ajira nchini ni hivi. Yawepo masoko kila wilaya masoko hayo yajitegeme mfano. Masoko ya nafaka yawe ya nafaka tu kusiwepo na muingiliano wa kila bidhaa soko mojo.
Ziwepo machinjio kila wilaya: sio lazima ziwe machinjio kubwa ila ndogo tu ZeNye miundombinu rafiki ya kuchakata nyama Kwa haraka na kutunza ngozi vizuri. Hii isasaidia wale vijana wasio penda kilimo uvuvi kupata ajira humo za kuchinja n.k machinjio hizi zisiwe na mlundikano wa kila aina ya wanyama wafugwao kuchinjwa mle ila kila eneo maalum litengwe Kwa machinjio ya wanyama husika Kwa hiyo mlaji atafuata nyama eneo husika Kwa anacho kihitaji hii itaongeza ajira na ushindani wa kuuzwa nyama Bora.
Yawepo masoko kila wilaya ila sio lazima yawe makubwa tunaweza Jenga masoko mfano wa lile la ilala na karume Kwa kila wilaya ili kuwapa fulsa vijana wanao tamani kufanya kazi humo na kujiajiri humo badala ya kutegemea vijana wa mikoani kukimbilia dar wakiamini ndiko kwenye soko na maisha mazuri.
Serikali iyafanye hayo Kwa weledi changamoto ya ajira Kwa miaka kumi mpka 20 itakuwa ni stori sio Tena la kugombana kama ilivyo Sasa hivi.
Lengo langu kugawanya masoko ya bidhaa kuto kuwa na bidhaa nyingi za aina moja ni kuhakikisha fulsa zinakuwa nyingi na kila mtu anapata mahali pa kuweza kutafuta kipato ila pia kugawanya ule mgawanyiko wa fedha bodaboda apate pesa dalaldala apate pesa Kwa vijana pia watakao kuwa wamejiajiri humo wapate
Masoko ya bidhaaa yakiwa mbali mbali ni fulsa hata Kwa vijana wabeba mizigo kila eneo kupata mkate wao bila kugombana gombana na wenzake sababu mle kazi hizo zitakuwa nyingi kila siku.
Tanzania bila ukosefu wa ajira inawezekana tukiamua Kwa pamoja na serikali kuwekeza nguvu katika haya mambo.
Vitu vifuatavyo vinaweza badili Tanzania iwe ni soko la ajira milele.
Uvuvi.mikoa yote yenye bahari,maziwa Kwa wale vijana wanao penda uvuvi na wanao somea uvuvi wapewe elimu na vifaa vya kisasa wafanye uvivu wa kisasa huko huko makwao kwenye hizo fulsa za uvuvi.
Kilimo: serikali iwekeze upatikanaji wa pembejeo Kwa ubora vijijini hasa Kwa wakulima waliopo kule kulinda ukosefu wa ajira Kwa vijana vijijini mashamba yapo mengi ni kupatikana viwatilifu makini pamoja na elimu sahihi sekta ya kilimo itaajili vijana wengi wasomi na wasio wasomi mikoani bila kuja dar au mijini kuhangaikia ajira Kwa wasomi.
Ufugaji: serikali itoe elimu ya ufugaji wa kisasa vijijini hasa Kwa mikoa inayo fuga ng'ombe mbuzi nguruwe n.k elimu ya ufugaji wa kisasa ili tupate nyama nyingi ZeNye ubora wa kulika na kuuzika nje ya nchi
Pia serikali ijenge masoko ya hivyo vitu kila wilaya ili kupunguza wingi wa ajira kwenye eneo moja na kukosa riziki Kwa watu badala take kila kitu kiwe na soko lake humo humo vijijini
Vitu vingine vitakavyo maliza tatizo la ajira nchini ni hivi. Yawepo masoko kila wilaya masoko hayo yajitegeme mfano. Masoko ya nafaka yawe ya nafaka tu kusiwepo na muingiliano wa kila bidhaa soko mojo.
Ziwepo machinjio kila wilaya: sio lazima ziwe machinjio kubwa ila ndogo tu ZeNye miundombinu rafiki ya kuchakata nyama Kwa haraka na kutunza ngozi vizuri. Hii isasaidia wale vijana wasio penda kilimo uvuvi kupata ajira humo za kuchinja n.k machinjio hizi zisiwe na mlundikano wa kila aina ya wanyama wafugwao kuchinjwa mle ila kila eneo maalum litengwe Kwa machinjio ya wanyama husika Kwa hiyo mlaji atafuata nyama eneo husika Kwa anacho kihitaji hii itaongeza ajira na ushindani wa kuuzwa nyama Bora.
Yawepo masoko kila wilaya ila sio lazima yawe makubwa tunaweza Jenga masoko mfano wa lile la ilala na karume Kwa kila wilaya ili kuwapa fulsa vijana wanao tamani kufanya kazi humo na kujiajiri humo badala ya kutegemea vijana wa mikoani kukimbilia dar wakiamini ndiko kwenye soko na maisha mazuri.
Serikali iyafanye hayo Kwa weledi changamoto ya ajira Kwa miaka kumi mpka 20 itakuwa ni stori sio Tena la kugombana kama ilivyo Sasa hivi.
Lengo langu kugawanya masoko ya bidhaa kuto kuwa na bidhaa nyingi za aina moja ni kuhakikisha fulsa zinakuwa nyingi na kila mtu anapata mahali pa kuweza kutafuta kipato ila pia kugawanya ule mgawanyiko wa fedha bodaboda apate pesa dalaldala apate pesa Kwa vijana pia watakao kuwa wamejiajiri humo wapate
Masoko ya bidhaaa yakiwa mbali mbali ni fulsa hata Kwa vijana wabeba mizigo kila eneo kupata mkate wao bila kugombana gombana na wenzake sababu mle kazi hizo zitakuwa nyingi kila siku.
Tanzania bila ukosefu wa ajira inawezekana tukiamua Kwa pamoja na serikali kuwekeza nguvu katika haya mambo.
Upvote
1