The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Hapo tegemea ni tozo juu kwa kwenda mbele
Ni hivi walishalinzisha na dude la mrusi na ukraine na wameanza, tegemea maumivu, na wala sio BOT wala bajeti ya bunge
Hayo ni maambukizi ya mifumo ya pesa kidunia, (Inflation Index)
Tunaoishi nao , tumeshayajua haya, sio tu Tanzania peke yake
Huu mfumuko wa bei umeshapangwa na wakulungwa wa uchumi wa dunia, wala usitetereke ukaona ni "njamamfu" yaani (conspiracy).
Kwa dunia ya tatu, ni kufuata maelekezo tu
Huku tunajiuliza? mbona Scotland ina mafuta na gesi lakini bei zinapanda kutokana na bei mafuta na gesi ya Mrusi?
Na mafuta na gesi yakipanda, tegemea hata bando linapanda, hata kama halihusiani na mfumo wa (Inflation Index)
Na bei hazitashuka tena kwa viwango vya zamani kamwe, ni utashushiwa mia(100) halafu wataongeza mia tano(500), tena baadae halafu utaushushiwa mia mbili(200) tena wataongeza mia 800, yaani gari limeshawaka
Hapo sasa tafuta x kwenye hii calculus, na bando na school fee zipo humuhumo kwenye x
View attachment 2895476
Serikali zote duniani huendesha miradi yake kwa kukopaHivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
View attachment 2895458
Wanakula wao,familia zao na wanaowaita wafadhili,ambao kimsingi ni matapeli na wezi tu.Wao wanadai ni lazima kukopa,na rasilimali zote hizi tulizonazo,aibu tupu.We couldn't be more stupid.Taifa la vilaza,Trump alikuwa Sawa kusema nchi za Africa na baadhi ya nchi za Asia ni Sawa na sehemu ya haja kubwa.View attachment 2895617View attachment 2895620
Mkuu jamaa hawa wana nia mbaya sana.Nadhani mwishoni watadai tuwape mikoa ya Arusha,Manyara na Shinyanga yenye rasilimali nyingi.Ukweli ni kwamba deni letu sasa ni unsustainable,kama lilivyo la Marekani,kilichobaki Sasa ni wao kuchukua sehemu ya nchi na nina hakika that is in their cards.Nchi itapigwa mnada
Duuuuh !Taifa la vilaza,Trump alikuwa Sawa kusema nchi za Africa na baadhi ya nchi za Asia ni Sawa na sehemu ya haja kubwa.View attachment 2895617View attachment 2895620
HayaDeni la Tz ni himilivu, tunaaminika na Tunakopesheka 🐒
Wacha tulewe kwanza kwa HISANI ya CCMNchi itapigwa mnada
shukrani sanaHaya
SIR- 100 MpigajiKwa nini wanastuka?
Sasa anapigaje wakati Madeni ni ya TanRoads? 😁😁SIR- 100 Mpigaji
Ambaye na yeye ni sehemu ya tatizocc: Job Ndungai.
Hivi na ukilaza wote huu come 2025 ,Watanzania watakubalije kwamba CCM imeshinda uchaguzi,it will be unimaginable.Hivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
View attachment 2895458
Choice Variable nimekufuatilia sana comments zako,inawezekana upo kwenye CIA payroll.Yaani na ukilaza wote huu wa watawala bado una positive comments juu yao.No,wewe I believe ni part of our problems na you could be part of the "state capture mechanism".Ila mfike mahali muionee huruma nchi yenu,ndugu zako wote wamo humu,msijifikirie ninyi wenyewe tu,fikirieni na ndugu zenu pia.Kwa nini wanastuka?
Sasa wachague nini?Hivi na ukilaza wote huu come 2025 ,Watanzania watakubalije kwamba CCM imeshinda uchaguzi,it will be unimaginable.
Wewe unamshangaa huyo,je umesha mshanga Lucas Mwashambwa😁Choice Variable nimekufuatilia sana comments zako,inawezekana upo kwenye CIA payroll.Yaani na ukilaza wote huu wa watawala bado una positive comments juu yao.No,wewe I believe ni part of our problems na you could be part of the "state capture mechanism".Ila mfike mahali muionee huruma nchi yenu,ndugu zako wote wamo humu,msijifikirie ninyi wenyewe tu,fikirieni na ndugu zenu pia.
Swali la kizushi sana hili.Yaani unataka kuniambia kwamba in 60 plus million Tanzanians walioko nje ya CCM hakuna anayefaa kuwa Rais!!!!There are so many.That is psychological manipulation of Tanzanians by CCM so that they can believe that CCM is the only party capable of leading Tanzania and providing a President.Narudia si kweli.Sasa wachague nini?
Walikuwa wamelala,au walikuwa hawajapewa uteuzi covid19,hata wakajikuta wameingizwa mkenge,kwani ndio wasimamizi wa siriiikaaaali😁Hivi ndivyo vyombo vya habari vilivyoripoti , hatujui kama huko ndio kuupiga mwingi au la !
View attachment 2895458