Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kwanini ujamsimia mama yetu samia umelewa madaraka teyari..Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW). Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
Tanzanialeaks ni nani hadi wajibiwe? 🐼Asante sana kwa ufafanuzi Mheshimiwa Waziri. Watu wanatapatapa na kuhangaika baada ya kuona nchi inapaa kimaendeleo na kufanya vizuri kiuchumi.ndio maana wanajaribu kuokoteza vihoja vya uongo na uzushi.
Atafutwe, akane mbele ya jamii, huo uongo!Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW). Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
Wiki ya pili ya Mwaka wa fedha inafanya yote ya nyuma yayeyuke?Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW). Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
tunawaumiza wapi..?Punguzeni tozo mnatuumiza wananchi.!!
Tozo na kodi ndio vinaendesha nchi.hata Ulaya wanalipa sana kodi na tozo kwa maendeleo yao.ZAKAYO, punguzeni tozo miamala ya simu na kodi ya pango irudi 1000
Tulia usiharibu uzi nataka kushuhudia spana hapa.!!tunawaumiza wapi..?
Hivi Kwa hiyo misafara ya huyo Rais, ya magari zaidi ya 150 Kwenye msafara mmoja.........Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW). Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
Sawa MuheshimiwaPuuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.
Na wewe poti kila jambo la CCM ni kuunga mkono hoja tuu!Asingepotoshs umma ungejuaje?Itakuwa hata BAO la Nape unaunga mkono.Asante sana kwa ufafanuzi Mheshimiwa Waziri. Watu wanatapatapa na kuhangaika baada ya kuona nchi inapaa kimaendeleo na kufanya vizuri kiuchumi.ndio maana wanajaribu kuokoteza vihoja vya uongo na uzushi.
Tuonyeshe unavyolipa Kodi!Tozo na kodi ndio vinaendesha nchi.hata Ulaya wanalipa sana kodi na tozo kwa maendeleo yao.
Ujenzi wa SGR kule Mwanza umesimama kwa sababu gani kama kila kitu kiko sawa huko hazina?Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).
Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.