Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Tozo na kodi ndio vinaendesha nchi.hata Ulaya wanalipa sana kodi na tozo kwa maendeleo yao.
Nadhani hata hati ya kusafiria huna achilia mbali ulaya unayoisikia kwenye redio kijijini kwenu.

Unajua kodi zinavyosimamiwa ulaya na sheria kali zilizopo kwenye kubana matumizi yasiyo na tija kama tulivyoona jana msafara wa magari 150 + pesa hizo kodi ambazo zingeweza kutatua matatizo ya Rukwa badala ya kutumiwa kwa anasa za misafara isiyo na tija

Angalia hapo Ulaya wanavyobana matumizi viongozi wa Africa walipokuja walitupiwa kwenye minibus na huko ndio mnakopa sasa.

Sasa mkopeshaji minibus moja mkopaji magari 150+

Lini mara ya mwisho Tanzania mtu kafikishwa mahakamani kwa ubadhirifu wa kodi , wale wanaotajwa na CAG pia ni utani kama wa Nape na Ndumbaro?
IMG_20240719_161414.jpg
 
Mwanaume pambana kutafuta ugali na kula yako, usitegemee uchawa au mwanasiasa.

wenzako wanaishi kwa kuokota chupa za maji poa, kukusanya vyuma chakavu na kuponda kokoto ila hawalambi miguu au viatu vya wanasiasa.

Samahani lakini mkuu, ila pambana usijilegeze legeze utajikuta unaliwa na mafisi kwa tabia za kujibebisha na uchawa.
Nimekua chawa mwaka wa kumi huu mkuu....
Mwigulu Nchemba oyeeeeee.....🤣
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.

Inawezekana nchi haijafilisika kwa sababu ya kukopa ovyo. Jiulize wakati Magufuli anaondoka madarakani deni la taifa lilikuwa shilingi ngapi na wakati anaingia Samia chini ya uwaziri wa Mwigulu nchi imeishakopa kiasi gani.

Na cha ajabu zaidi sehemu kubwa ya keki ya taifa inatafunwa na wanasiasa wanaojilipa mabilioni ya shilingi ka kutafuna fedha za umma kama mchwa huku wananchi wengi wakizidi kutopea kwenye umasikini na kuishi maisha yanayosikitisha sana. Mungu anawaona na atawalipa kwa kadri ya uovu wenu.
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.

Tatizo huwa hauaminiki wewe, wiki si nyingi zijazo tutamsikia rais akiongea kitu tofauti kabisa na hiki ulichoandika hapa.
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye wenye kututakia mabaya.

Jibu hoja zote umejibu mbili tu na hiyo ya pili umeficha, kama Kampuni YAPI walikuwa na changamoto gani hizo ? Kwanini serikali ikubali kurudishwa nyuma na changamoto za ndani ya kampuni si muwafukuze kama hawalipi wafanyakazi wao maana inakwamisha shughuli
 
Bajeti wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inazidiwa na bajeti ya manunuzi ya magari ya viongozi, Na wewe kama waziri wa fedha unaona sawa tu! Wanafunzi wanaketi chini, mmefuta bima ya afya kwa watoto na fedha zinaelekezwa kwenye matumizi ambayo si vipaumbele vya wananchi na haiwagusi wananchi mmoja mmoja! Na wewe kama waziri wa fedha upo na umepitisha!
Hakuna nchi yenye watawala wa ovyo hapa Ulimwenguni kama Tanzania. Hii nchi bora tu mkoloni arudi kuitawala.
 
Mafao Kwa viongozi wastaafu Rais, makamu wa Rais, mawaziri wakuu, majaji, na mafao ya wapenzi wao yapunguzwe au yaondolewe Kwa kiasi kikubwa
 
Mwigulu ume panic, hao Tanzania Leaks mimi siwapuuzi kwasababu nikiunganisha dots zangu napata majibu hii serikali yenu inapumulia mashine.

Unaleta thread halafu unakimbia kuogopa maswali, kama unajiona uko busy usiwe unaleta thread JF kujisafisha kiuoga, kama unajiamini uko vizuri leta uzi usimame kuutetea uzi wako.

Huchezi na watoto hapa.
 
Back
Top Bottom