Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Jf tumepata pigo kubwa baada ya kupata habari katka Tbc na Radio Captal kuwa msanii gwiji wa maigizo STEVEN KANUMBA kufarik dunia usiku nyumban kwake kwa kile kinachosemekana alipata ajali akiwa na mpenz wake....
 
Bwana ametoa,Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimidiwe.
 
JK ana wakati mgumu aende wapi kuomboleza malawi au sinza watu wa protokali wanaweza geuza msiba wa kisiasa.
 
basi mungu amla mahali pema peponi kwani ndio njia ya wote,amsamehe kwa maovu aliyofanya na amkirim kwa mema aliofanya.

inamaana lulu alikua mpenzi wake au?
 
Dah......ni habari ya mshtuko kweli kweli......RIP Kanumba......
 
Sasa misiba hii inampa wakati mgumu kweli JK ..maana atataka kwenda malawi huku nako kanumba..khaaa ..

Itabidi achagaue wa kanumba sababu masharobaro na ma hb wenzake watakuwepo wengi na tv za uswazi bila kukosa.
 
'Akinadada weng ndo wanaomiminika mortuary' -CLOUDS Fm
 
dah furaha ya ushndi we2 wa simba umeingia doa.rest in peace bro.wanawake sio watu wazuri jamani let us b crful.
 
The Great amefariki kwa kuanguka kwa kusukumwa anaezaniwa mpenzi wake Lulu na akaangukia kisogo

Ray inabidi ahojiwe na yeye coz hawa watu walikua wana beef na ray alipiga pix za mahaba na lulu ili kumuumiza kanumba so inawezekana ray kachonga mchongo na lulu wammalize,Police wetu wa tanzania mpigeni Pinch Ray ataeleza ukweli.
 
Poleni wote mlioguswa na kifo cha kanumba hasa ndugu wa jirani na Kanumba tuliobaki tujitahidi kuyaendeleza mema aliyoyaacha huku tukijua ipo siku nasi tutaondoka kwa sitahili tofauti,MUNGU alitoa na pia ametwaa jina lake lihimidiwe. ameni.
 

R.I.P Steven
 
Kutoka Sinza Vatikan
'm/kit wa kutoa taarifa ni mtitu game,na asha baraka'
radio ya WaFU
 
R.I.P Kanumba, habari zinasema kumwa alivyosukumwa na mpenzi wake aliangukia kisogo ndipo umauti ulipomfika.
 
lakini si aliwahi kusema LULU ni kama mdogo wake..!?

Lulu gani kwanza aliyemsukuma mpaka akafa? Kale kabinti kadogo (lulu michael) au ana mpenzi mwingine aitwaye Lulu.?
 
Tulikupenda lalini MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI, PUMZIKO LA AMANI AKUPE BWANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…